Team kibaUzuri Diamond kafichuwa makucha yake mapema. kwetu sisi kilichobaki ni kumgomea tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Team kibaUzuri Diamond kafichuwa makucha yake mapema. kwetu sisi kilichobaki ni kumgomea tu!
Team kibaHuyo Diamond inawezekana kagundua umaarufu wake unaisha sasa katafuta sehemu ya kuegemea ili lawama ziende huko.
Na inawezekana anatafuta mialiko ya Ikulu tena, tangu Kikwete aondoke hajatia mguu ikulu.
Ushindi anaouhakikisha Diamond una mashaka sana. Lakini tusishangae sana kwani ndiyo ufahamu wa watanzania ulipofikia.
Haya umeyatoa wapi huyu magufuri alishashinda uchaguzi na chaguzi nyingi sio mara ya kwanza kama lisu na zito
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe wakweli jamani. Hivi Diamond Plutnumz ana shida na wewe kweli? Anajua kuwa upo kweli dunia hii? Ebu acheni kujimwambafai mtandaoni!
Hahaaaa nani huyo?Yule msanii aliyeimba chadema chadema mpaka ikulu alivyokufa mlihudhuria hata mazishi yake kweli?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu, mimi siko kwenye timu yoyote zaidi ya timu inayotaka taifa huru. naishi maisha yangu very simple, sipendi kuonea wala kuonewa. Si mtu wa maisha ya Kiba wala wenzake. Namuheshimu kila mtu lakini namuheshimu zaidi yule anaejali utu badala ya tumbo! Namaanisha mtu anaejua thamani ya utu wake ndio atakuwa role model kwangu.
Hao ndiyo wasomi tunao watengemea mkuu bado tuna safari ndefuSasa hii inahusiana vipi na kaskazini?
Haujui huku huku kaskazini kuna wanaomuunga mkono Magufuli na kuna ambao hawamuungi. Na huko huko kwao vivyo hivyo?
Kaskazini mnaumia sana, ila ndio hivyo mnaowaita washamba ndio wamekamata dola na ndio wengi, mngekuwa na akili kama mnavyodai basi mngekamata dola kama wakikuyu Kenya, mlie, mshambulie mitandaoni, m brag kwamba nyie kwenu migombani ni kama New York sawa, ila ndio dola tushaishika! Na hatuna mpango wa kuiachia, kama ulisoma Political Science unajua concept ya "Majority rule" the tyranny of number, na ndio hao mnaowaita washamba watawaongoza tu, even after 2025!
Wambie hao ndugu zako wanaotukana wasukuma washamba, hawajaendelea waache huo ubaguzi na kushambulia wasukuma, or else we ll reiterate accordinglyNyerere alifuta ubaguzi wa aina zote na ukanda lakini wajinga wameurudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaskazini mnaumia sana, ila ndio hivyo mnaowaita washamba ndio wamekamata dola na ndio wengi, mngekuwa na akili kama mnavyodai basi mngekamata dola kama wakikuyu Kenya, mlie, mshambulie mitandaoni, m brag kwamba nyie kwenu migombani ni kama New York sawa, ila ndio dola tushaishika! Na hatuna mpango wa kuiachia, kama ulisoma Political Science unajua concept ya "Majority rule" the tyranny of number, na ndio hao mnaowaita washamba watawaongoza tu, even after 2025!
Mkuu unapata faida gani unapoiongoza mtu huku ukiwa na maisha ya dhiki isiyo na furaha ?Kaskazini mnaumia sana, ila ndio hivyo mnaowaita washamba ndio wamekamata dola na ndio wengi, mngekuwa na akili kama mnavyodai basi mngekamata dola kama wakikuyu Kenya, mlie, mshambulie mitandaoni, m brag kwamba nyie kwenu migombani ni kama New York sawa, ila ndio dola tushaishika! Na hatuna mpango wa kuiachia, kama ulisoma Political Science unajua concept ya "Majority rule" the tyranny of number, na ndio hao mnaowaita washamba watawaongoza tu, even after 2025!
Kwani ushamba na kutokuendelea ni tusi ? yaani leo mtu atoke Marekani aseme kua Tanzania hatujaendelea atakua ametutusi?Wambie hao ndugu zako wanaotukana wasukuma washamba, hawajaendelea waache huo ubaguzi na kushambulia wasukuma, or else we ll reiterate accordingly
Wao wameendelea kwa lipi? Wao hawana ushamba? Waende zao hapa, wasitusumbue akili, kila siku kwenye mitandao ya kijamii kushambulia watu kuwaita washamba.Kwani ushamba na kutokuendelea ni tusi ? yaani leo mtu atoke Marekani aseme kua Tanzania hatujaendelea atakua ametutusi?
Mkuu taratibu basi; mtu akikwambia jambo inabidi ujiangalie mara mbilimbili yawezekana akakusaidia. Mfano watu wanaposema sisi wachagga ni wezi wa pesa tuwapo kazini nikweli ? au watu wanaposema sisi wahaya ni wajivuni ni kweli? au watu wanaposema sisi wasukuma ni washamba ni kweli? au watu wanaposema sisi waTanzania IQ yetu ni ya chini ni kweli?Wao wameendelea kwa lipi? Wao hawana ushamba? Waende zao hapa, wasitusumbue akili, kila siku kwenye mitandao ya kijamii kushambulia watu kuwaita washamba.