Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Duuu wewe ndio unachekesha sana,hivi kwa ajili yako fupi huo ushindi alioahidi Diamond unadhani ni upi haswa wale waliopo pale diamond ndio msemaji wao,huo Diamond si kachawa kamoja kanakotafuta ridhiki kwa staili yake,tafakari usipende leta hoja za kibaguzi zosizo na mashiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaskazini mnaumia sana, ila ndio hivyo mnaowaita washamba ndio wamekamata dola na ndio wengi, mngekuwa na akili kama mnavyodai basi mngekamata dola kama wakikuyu Kenya, mlie, mshambulie mitandaoni, m brag kwamba nyie kwenu migombani ni kama New York sawa, ila ndio dola tushaishika! Na hatuna mpango wa kuiachia, kama ulisoma Political Science unajua concept ya "Majority rule" the tyranny of number, na ndio hao mnaowaita washamba watawaongoza tu, even after 2025!
Sent using Jamii Forums mobile app