Umeona eh! Yanatetea ujinga, yanapingana na kuheshimi katiba na sheriaMkuu Retired NIMEKUELEWA infact yameshaanza
Umeona eh! Yanatetea ujinga, yanapingana na kuheshimi katiba na sheriaMkuu Retired NIMEKUELEWA infact yameshaanza
Issue ni lugha ya utoaji haki au haki itendeke? Hivi tunajua tuanchokitaka kweli?Kutoa hukumu Kwa kiswahili ni jambo jema watz wengi hatuifahamu vyema lugha ya kingereza
Punguza hasira soma vitabu upate elimu sio mihemko,yupo binadamu ambaye yoote haya na mifumo yoote ya kidunia aliya buni na kuyatekeleza mpaka wa leo tumeiga huko babel na mbabe wao anaitwa nebchadneza,na baadae nimrod ukipata kitabu cha historia yake hutolaumu mfumo wowoote uliopo dunianiHayo mawigi umeona ktk sinema za kinaijeria au mahakama za Tanzania? Una picha yeyote inayoonyesha Jaji au wakili wa kitanzania kavaa hilo wigi!!! Kila taaluma ina mfumo wake na kuazima vya nje si vibaya. Hata uniform nyota za wanajeshi tumerithi kwa wazungu hata mifumo ya jeshi tumerithi kwa wazungu waambie wanajeshi wavae migolole kama Mkwawa basi
Comte humu usitegemee michango ya maana kwa post nzuri kama hii. Chagua wa kuwajibu, yatakuja matakataka mengi hapa
devience ni nini? Yale yale ya Jiwe na Kiingereza!Kumbe majaji wetu na mahakimu wanabanwa na sheria kutoa hukumu zao kwa kiingereza. Ukaidi umemfanya Jaji Galeba kutoa hukumu yake kwa kiswahili na kuwa amevunja sheria hiyo. Hata hivyo ukaidi wakati mwingine ni muhimu ili kulazimisha mfumo ubadirike. Kwa ukaidi wake Jaji Galeba kapata cheo na huenda mfumo ukabadirika hivyo kufaidika mara mbili. HONGERA JAJI GALEBA
Mkuu kwanza nifanye masahihisho- neno sahihi ni DEVIANCEdevience ni nini? Yale yale ya Jiwe na Kiingereza!
najifunza asante kwa kunisaidia"... kulazimisha mfumo 'ubadirike"'.
Mtoa mada unapenda Kiswahili lakini hukijui.
Sawa Mkuu lakini Mahakama kuu na mahakama ya rufani nadhani maelekezo ni iwe kwa KiingerezaMkuu hata mahakama kuu division ya labour inahusika
Sawa Mkuu lakini Mahakama kuu na mahakama ya rufani nadhani maelekezo ni iwe kwa Kiingereza
Mkuu mahakama kuu imeazimisha miaka 100 ya kauanzishwa kwake- jipe homework utapata jibu-vinginevyo kubaliana na taarifa nilizo kupaSijaona jina la sheria na ni mwaka gani
Noted, nitakuja kwako later, ngoja nifanya kazi kidogoMkuu kwanza nifanye masahihisho- neno sahihi ni DEVIANCE
Hii ni dhana ambayo katika sosiolojia inaelezea vitendo vya mtu kukiuka utaratibu uliokubalika na kufanya tofauti- unaacha utaratibu na unatunga utaratibu wako na kufanya kwa kutumia utaratibu wako huo mpya.
Deviance, in sociology, violation of social rules and conventions.
ukipata mda soma kuhusu hiyo dhana utaona na kufaidika.
JPM katika utendaji wake amekuwa deviant sana
AiseeMkuu mahakama kuu imeazimisha miaka 100 ya kauanzishwa kwake- jipe homework utapata jibu-vinginevyo kubaliana na taarifa nilizo kupa
Mkuu hajakuza yu kiswahili- kuna hoja nzito na nyingi sana za kisheria kazielezea vizuriKutambua mchango wake kukuza kiswahili ni sawa, lkn sidhani kama ni miongoni mwa vigezo vya promotion ya majaji. Angeweza kupewa nishani ya kiswahili tu. Hapa ndipo tunapokosa independency of judiciary.
Nalo swali zuri sanaAnatokea kanda gani ?
Naona hata heading ya post imebadilishwa baada ya hii post yako kuonyesha sheria inaruhusu Labour Court kuandika hukumu ya kiswahili tofauti na vitengo vingine.Huyo hata hajakaidi sheria na kanuni za kazi zinaruhusu kuandika hukumu kwa Kiswahili au kingereza mhe jaji kaonesha uthubutu nakuondoa mazoea View attachment 1692739