Kikwete heri angekaa kimya tu ale ubuyu.Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
Pia hakuwahi kusimama popote na kusema je nikiondoka madarakani ndege zitanunuliwa? Barabara zitajengwa? n.k.Pia alijenga viwanda kwa mamia na nyumba za serikali kwa maelfu lakini vyote hivyo viliuzwa kwa bei za kutupa!
Katuachia matatizo makubwa mno. Anawajibika moja kwa moja kwa matatizo wanayopata binadamu wenzake. Natumaini historia itamuhukumu kwa usahihi.JK kuikataa rasimu ya Katiba ya Warioba ndiyo matokeo yake haya,hakika JK ndiye wa kulaumiwa katuachia msala mkubwa mno.
Katuonesha utamaduni wa miaka 10 haufai.I wish 2020 JK achukue fomu, ni kama TZ inamuhitaji tena
Huyu baba tatizo ana mawazo ya kijijini sana.. kwake kujunua baskeli ni maendeleo.Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
Duh hivi JPM seriously anaamini kabisa kwamba ndani ya miaka yake minne kaleta maendeleo kuliko miaka 50 ya uhuru?
Watangulizi wanatakiwa wakae kimya. Huko USA rais ukimaliza muda wako mara nyingi hutakiwi kulumbana na iyeko madarakani. Trump anamchamba Obama kila kukicha lakini hamjibu. Kama ulishindwa kutimiza wakati ukiwa madarakani basi acha aliyepi afanye kazi bila kuingiliwaNaungana mkono na wewe, hivi hakuna namna yeyote JK anaweza kumuwajibisha huyu rais wa sasa asiye na staha kwa watangulizi wake ??
Watangulizi wanatakiwa wakae kimya. Huko USA rais ukimaliza muda wako mara nyingi hutakiwi kulumbana na iyeko madarakani. Trump anamchamba Obama kila kukicha lakini hamjibu. Kama ulishindwa kutimiza wakati ukiwa madarakani basi acha aliyepi afanye kazi bila kuingiliwa
Huyu kichaa kila siku ni ndege, sgr, bwawa hana jipya la kusema. Mbona huzungumzii deni la taifaAmesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwandishi umewaza nn[emoji23][emoji23][emoji23]Hivyo wanachambana au nyie ndio mnawachambanisha..?
Bora hata umewauliza maana sijaona making a no yoyote zaidi ya watu kuleta hadithi za vijiweniHivyo wanachambana au nyie ndio mnawachambanisha..?
JPM Habari nyingine wazee.