Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

JPM anawanyoosha hadi wakome, kakata mirija yote ya majizi, naona JK analia lia kiana, JPM endelea hivyo
 
Kikwete aliwekeza katika watu, JPM anawekeza katika vitu. JK amejenga km mkoa hadi mkoa nyingi lakini JPM anamaliza viporo navingine havijasogea. Kikwete kama aliingia una mshahara Wa 400000/_ amestaafu ukiwa na mshahara Wa 1,600,000/_ (four times) . miradi aliyokamilisha kikwete JPM haiwezi na tunaambiwa ni pesa ya ndani wakati deni LA taifa linapaa chini ya awamu ya tano. Ngoja afikie kikomo cha kutokukopesheka ndio kilio na kusaga meno tukipate wote. .wakati huo hata mishahara itakuwa shida . Na hata kama atakamilisha hiyo SGR na Stiegler's umeme no kwa gharama ya kutoangalia maslahi ya wafanyakazi hajaongeza kitu. Mshahatra Wa kikwete ndio tunao hadi Leo. bahati njema jamii yetu ni ya watu wavivu kutafakari na kutambua ukweli. BTW ni kuwa JPM anatimiza wajibu wake , lakini sio vizuri sana kiasi cha kukejeli waliomtangulia. Ni Wa kawaida sana hana sifa anazopewa eti wenzie hawjafnya kitu. Ninatofautiana na wale mnaoimba matamshi ya mtawala aliyepo ili mpate ugali Wa Leo. Ni matter of priority yake , ninahofia kama ataongeza muda Wa uongozi eti akamilshe alivyoanzisha wakati rohoni mnaomba amalize mihula aondoke aje mwenye vipaumbele kam JK apandishe mishahara.
 
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
Ethiopia wana ndege zaidi ya mia kuanzia Bombadier hadi Airbus 350,kwa muono wa Magufuli Ethiopia itakuwa imeendelea sana eee?Anaejua kiwango cha elimu ya Magufuli naomba na mimi anisaidie nimjue huyu mtu maana du ni shida
 
Mda si mrefu utasikia Membe katemwa anakaribishwa mtu mwingine tena, wapinzani ni maopportunist mno. hawawezi kufanya siasa bila kuitegemea ccm.
 
Kwenda kijijini na kuanza sifia Umeme. SGR. Bombardier. Flyover. Ni ujinga maana haviwqsaidii. Kijijini mtu kwa mwezi anatumia unit 15 wakati mjini unit 300 kwa mwezi
 
I wish 2020 JK achukue fomu, ni kama TZ inamuhitaji tena
Ili muendelee kuiba rasilimali za nchi, kuuza unga,kuandikiwa vimemo na kutengeneza vyeti fake,that is wishful thinking.It is over.
 
Magufuli amefanya makubwa zaidi yao, ni haki yake kujisifu. Watawala wa mwanzo waliimaliza Tanzania
 
Back
Top Bottom