Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Huu ndio ukweli wa mambo.

Kuna kitu kafanya naye kinamoa status fulani iliyo katika level ambayo wanafizikia wanaita "singularity".

Singularity ni pale kanuni zote zinavunjika.

Magu anaweza kuwa mkali sana, anatumvua watu ndani ya dakika moka tu.

Lakini kwa Makonda kanuni zake zote za kutumbua zinavunjika.

Rejea issue ya Coulds FM. Mtu mwingine yeyote angetumbuliwa.

Rejea issue ya makintena kuingizwa bila kulipa kodi, pale Magu alihutubia kama mwanamke anayemsihi mume anayemoenda ambaye hataki kupewa talaka, yani ilikuwa kama anasema "jamani Makonda mbona uko hivyoo, mi nakuoenda halafubwewe unafanya uhuni, lipa kodi basi usiniletee balaa".

Makomda hata hakuomba msamaha.

Sasa hivi kwenye hili la TASAF Magu ni kama anasema kwa kubana pua "Jamani Makonda basi kama umeiba rudisha, nimeshakusamehe nakupenda sana sitaki uniacheee".

What's up with that?

Is Magufuli Makonda's bitch?

He surely looks like one.

Makonda ana siri gani ya Magufuli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehehe... Umesema precisely ambacho nimeshindwa kuandika. Natamani mbunge mmoja ajitie wazimu aweke motion bungeni ya kumlazimisha Magu kumtumbua huyu dogo. Najua itashindwa kupata kura za kutosha lakini iwepo on record tu. Dogo amefanya vitu vingi vya ajabu na ukimya wetu unatufanya tuonekane kama nchi ya cowards. Toka lini umesikia US inaacha Rais, VP, WM, Mawaziri, Viongozi wa Jeshi inaenda kumpa sanction mkuu wa mkoa for human rights violations????
 
Back
Top Bottom