Rais Magufuli alishasema hatabadili Katiba ili kusalia madarakani. Kwanini Kabwe, Membe, Tundu Lissu mnamenea mnamnenea uongo ?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,885
Zitto kabwe alichokiandika kwenye Gazette la South Africa (Tanzania’s election: Time for urgent action) ni ni mandalizi ya kuanzisha vurugu kabla na baada ya uchaguzi.

Agenda ya kuwadanganya wananchi eti wasimchague Magufuli kwa kusingizia eti akichaguliwa tena atabadiri katiba ni hoja ya kizandiki.

JPM alishasema kuwa hatafanya hivyo.kuendelea kumnenea uongo ni kuonyesha kuwa amewashika pabaya na pia ni kuonyesha namna Magufuli alivyo kiboko ya wezi wa Mali za taifa hili.

Watanzania tumchague kwa kura nyingi sana ili wapinzani na wasiyoitakia
Mema nchi yetu washangae.

Kulazimisha serikali ya umoja wa kitaifa kwa kusababisha vurugu hakutowasaidia wapinzani.

Mmeishiwa hoja .
 
Mhuu hili jambo linaogofya!! Na kamwe kinywa cha mtu kisiaminiwe kwenye hii dunia ya leo
 
Ndugai akishasema atake asitake wao watabadili, na yete juxi kwenye kampeni kasema hawezi akakybali kuindoka maana akiondoka haoni wa kuendeleza miradi aliyoianzisha .

Una swali lingine?
 
Ndugai akishasema atake asitake wao watabadili, na yete juxi kwenye kampeni kasema hawezi akakybali kuindoka maana akiondoka haoni wa kuendeleza miradi aliyoianzisha .

Una swali lingine?
Hapo sasa pambana na aliyesema hivyo siyo aliyekataa.na by the way nani kakuambia kuwa ndungaye atakuwa tena spika?
 
Aliyekuwa spika Job Ndungai ndiye alisema kuwa mwezi November lazima watabadili Katiba kuondoa kikomo cha muda wa Urais ili Magufuli aendelee,na maandalizi ya mpango huo ni hizi hujuma zilizofanywa na Tume ya uchaguzi kuengua wagombea ubunge wa upinzani ili Bunge lote wawe wenyewe kufanya wanavyotaka . Huyo Ndungai hana uwezo wa kuiambia Tume kufanya hujuma hizo,hivyo kwa akili ya kawaida tu unaweza kujua nani yuko nyuma ya mpango huu.
 
CCM ndio wazandiki,, si alishawahi kusema urais mgumu, na alikuwa akibahatisha tu akagagamizwa , aache wachukue waliojiandaa, hatutaki mateso
 
Hapo sasa pambana na aliyesema hivyo siyo aliyekataa.na by the way nani kakuambia kuwa ndungaye atakuwa tena spika?
Mzee baba alitakiwa awakaripie peupe akina "Ndungu gani zina Kesi" siku ile ile waliyo jiapiza kwa kujipiga piga vifuani kuipindua katiba kwa manufaa yake ya kulazimishwa
 
Mbunge wa nkasi alishasema kuwa bunge lijalo atapeleka muswada na watamlazimisha
Na spika akasapoti
 
Kwani Watanzania hawajui kuwa Kessy na Ndugai walitamka bungeni kuwa lazima wabadirishe katiba atake asitake????
Kubadirisha katiba ni jambo la kawaida,katiba siyo msaafu.
Sema tu katiba ipi ina manufaa kwa wananchi.
 
Hapo sasa KATIKA ishu ambayo magu hawez fanya ni kuongeza mda tatizo wateule wake hawamwelewi
 
Wewe ulisikia wanatakiwa wabunge angalau 2/3 ili wapitishe lolote. Lolote ni lipi?

Tangu lini wanatafutwa wabunge wakupitisha agenda wala si wa kuisimamia serikali?

Hatudanganyiki!
 
Suala hilondolinakusumbua ushahidi kiongozi wetu siomkweli mfano kujiita rais wawanyonge mnyonge gani anapanda ndege? milion 50 kila kijiji zipo wapi? Hivinivitu vichache ambavyo inaonyesha atabiriki
 
Zitto kabwe alichokiandika kwenye Gazette la South Africa (Tanzania’s election: Time for urgent action) ni ni mandalizi ya kuanzisha vurugu kabla na baada ya uchaguzi.

Agenda ya kuwadanganya wananchi eti wasimchague Magufuli kwa kusingizia eti akichaguliwa tena atabadiri katiba ni hoja ya kizandiki.

JPM alishasema kuwa hatafanya hivyo.kuendelea kumnenea uongo ni kuonyesha kuwa amewashika pabaya na pia ni kuonyesha namna Magufuli alivyo kiboko ya wezi wa Mali za taifa hili.

Watanzania tumchague kwa kura nyingi sana ili wapinzani na wasiyoitakia
Mema nchi yetu washangae.

Kulazimisha serikali ya umoja wa kitaifa kwa kusababisha vurugu hakutowasaidia wapinzani.

Mmeishiwa hoja .
Madikiteita wife hiyo ndiyo huwa kauli yao. Ndugai hawezi kusema watamlazimisha bila kuteta na Magufuli
 
Back
Top Bottom