Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,499
- 19,536
Na hio hatari inafanya kazi kwenye barakoa peke yake ? Au kwa mantiki hio tuache kutumia chochote kinachotoka nje ? Na hao wahusika waliotengeneza hizo mbovu ni bahati mbaya (low quality sababu ya uzembe) au walikusudia kuweka sumu ?Kuna zilizongizwa kwanjia ya panya ndizo lengwa! Kunauwezekano Watu walipitanaxo kwenye mikoba hapo airpot! Jiongeze, mkuu.
Kama ni low quality unavyomwambia kila mtu ashone na mwingine anatumia kitambaa cha chandarua huoni hapo haujasolve tatizo ?
Kama ni makusudi waliweka sumu kwanini tusiuambie ulimwengu na ndugu zetu waafrika kwamba kampuni fulani iliweka sumu hence tujikinge nayo?