Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

You can't give what you can't have[emoji28][emoji28][emoji28]
Nimenukuu tu siyo uchochezi
 
Hoja ni kingereza au hoja ni nini? kama swala la lugha unaweza kuhutubia kwa lugha yeyote pale mfano ujerumani,china,urusi je wanahutubiaga kwa lugha gani??? pili hakuna official report kutoka ikulu kuhusiana na rais kuto kwenda UN leo nashangaa sana watanzania kumcheka mtu et kisa kutokujua kingereza lakini ni ngumu sana mjerumani kumcheka mjerumani mwenzie kisa kutokujua kingereza kawaida mtu anachekwa kwa kutokujua
lugha mama kwa Tanzania mala ya mwisho kuangalia ilikuwa ni Kiswahili.
 
Mhhhh, lakini sasa mbona hata huko kwenye tetemeko kwenyewe hajahudhuria, nini faida ya kubaki hapa sasa? Natamani niseme yaliyo moyoni kwa dhati lakini Mil. 7 sina na sitaki kuitwa mchochezi ila kuna walakini hapa.
Ondoa uoga longa tu
 
Kutokana na janga la tetemeko la ardhi, kwa mara nyingine Mheshimiwa Rais wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania analazimika "kuvunja" safari ya kwenda kuhudhuria Mkutano wa 71 wa Umoja Mataifa ambao unaanza kesho tarehe 20.09.2016 hadi 30.09.2016

Kwa mujibu wa Ms. Mindi Kasiga aliyehojiwa na gazeti la The Citizen Mheshimiwa Rais amelazimika kutoenda kuhudhuria mkutano huo ili kushughulika na matokeo ya maafa ya tetemeko hilo lililochukua maisha ya Watanzania wenzetu takribani 19 huku wengine takribani 200 wakiachwa majeruhi.

NOTE: Mada mbalimbali zitajadiliwa kwenye mkutano huo lakini moja ya mada ambayo inatarajiwa kuwa na msisimko ni ile itakayozungumzia wimbi la Wakimbizi na Wahamiaji duniani. Kwa mujibu wa tovuti ya Umoja wa Mataifa, hii ni mara ya kwanza Mkutano Mkuu wa UN kukutanisha wakuu wa nchi kujadili suala hilo.

Pamoja na hilo la Wakimbizi na Wahamiaji, pia kutakuwa na kikao muhimu sana ambacho kitachukua takribani 70% ya mkutano wote kutokana na umuhimu wake. Huu ni mdahalo unaolenga kuzungumzia malengo ya maendeleo endelevu na nafasi yetu katika kusukuma mabadiliko ya kufikia malengo hayo.

United Nations

View attachment 402894

View attachment 402895
hivi UN tukienda watz dah, jamani, kama hakuna tatizo aende tu, kwasababu hata akisema anabana matumizi au kuna msiba wa bukoba hiyo aisee inazidi kumpunguzia heshima kidunia na sidhani kama ni sawa. kwanini rais wetu hataki kusafiri? hivi ni kwanini?
 
Mh Raisi nchi za nje wanakuhitaji wakufahamu. Obama anaondoka akija Trump kazi kwelikweli
 
Wewe aidha ulikuwa sexually abused utotoni au ulilelewa kwa shida na bila mapenzi ya Wazazi, hii ni tabia ulioionyesha kwenye uandishi wako inaelezea hilo yaani watu waliopitia utoto mgumu!
aende asiende msiba wa bukoba upo palepale tu hakitabadilika kitu.
 
Angeenda mngekuwa wa kwanza kulaumu kwanini anasafiri wakati huku nyumbani kuna tetemeko lililosababisha maafa makubwa. Kuongoza hii nchi ni kazi sana.

Utetezi dhaifu, kwa hiyo kaenda kwenye hilo tetemeko lilipotokea?
 
Duh makamu wa Rais,Waziri Mkuu,Mawaziri husika, Mkuu wa Mkoa........
 
Back
Top Bottom