Na akimuarisha hili kinyume cha Katiba tukaharalisha, huko mbeleni akimualisha lingine lisilonuifaisha tusisema kavunja Katiba.Mwenyekiti wa CCM ambaye ni mkuu wa NEC anaweza
Hakuna ushahidi kwamba CCM wamekataa huo utaratibu.Naam inawezekana kabisa ali mradi tu kura zinahesabiwa hadharani, lakini hilo pia hulitaki eti utaratibu wa maccm 😂😂😂 Sasa kama maccm yanataka UWAZI na HAKI kwenye kura zao kwanini yaogope UWAZI NA HAKI kwenye Uchaguzi Mkuu!? 😜😜
Hakuna ushahidi kwamba CCM wamekataa huo utaratibu.
NEC waite vyama vyote wakubaliane kama ni siri au Uwazi. NEC hawajatangaza utaratibu, utasemaje CCM wameukataa
Nawe tania umtafutie mama Crimea mwanaume.Hata nyumbu wenzio watakushangaa kukomalia kitu ambacho kinajulikana ni utani,!
Hujui ulichoandika kaa kimya subiri tareheDuh.., hivi unaelewa hata kinachoendelea kweli? Kwamba oktoba utamuona JK yuko jukwani anampigia kampeni Magufuli na mwisho wa siku huyo Lisu wako atapigwa chini?
Yaani yale ni mabomu ya nyuklia yatabaki ktk mwili wake km kule hiloshimaItakuwa ni moja ya sababu. Ukijumlisha na yale mawe ya JK Jana msibani?, kweli ni hatari tupu!