kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,990
- 6,647
Hosteli za udsm aliharakisha hivyohivyo na tuliona matokeo yake,Barabara alizojenga tuliona zilivyosumbua ukarabati. Subira ni muhimu tusiharakishe mambo yamsingi kutafuta sifa binafsi tatizo ni wasiwasi linaweza zinduliwa awamu ya sita ajikute kagawana sifa na huyo ajaye...Unadhani hatumii wataalamu? Hiyo ni idara aliyo kaa na kuiweza kwa miaka,hata mkandarasi atakua anajua miaka mi3 ni mingi iwapo kila kitu kipo kwa nini apoteze muda
Alafu hamna cha mkakati hapo alikoswakoswa kuzama ndomana anajenga na kupotezea mabilioni yetu humo? angeyatumia kujenga hospitali au kwenye miradi ya maji angesaidia watu wengi sana! Hii nchi rais asiruhusiwe kujiamulia miradi mikubwa kuzidi bilioni 50 ambayo haijapitishwa bungeni (bunge lenyewe sasa...)