HDMI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 670
- 1,313
Take it easy mzee. Sio kila kitu upayukeKwani ni kosa kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwenda nyumbani kwao/kwake kusherehekea sikukuu za Krismass na Mwaka mpya kwa wazazi wake? .. au ni kosa kwa watu mfano hao mnaowaita "wa Kaskazini" kurudi kwao mwishoni wa mwaka kula sikukuu?!