Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,239
Mungu Wabariki Wazungu
Tafadhari wahusika wamuelimishe Samia kuwa kuna CORONA bado duniani; hivyo aige viongozi wengine duniani wanaowasiliana virtually kwa mambo ya kiserikali! Kiongozi wa nchi asipende sana kusafiri safiri wakati huku!Ulefu wa kamba yake unamruhusu kula kokote kule.
Nimesikia pia atakuwa na ziara Sweden.
Hapa Duniani Wazungu watabakia kuwa Wazungu tu tutake tusitake.Mungu Wabariki Wazungu
Wewe ni mhasibu wake?Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
Mawazo hasi kama haya ni hatari kwa ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji wenye tija nchini.Yaani Mkulima atoke MidWest USA Iowa aje kuishi na kulima kwenye tropical savanah heat la Afrika ? Avuke South Amerika yooote aje Tanzania kwenye ardhi ngumu ambayo hata mashine inaweza kata jembe? Unaota nafikiri!
Siyo kweli, mbona Afrika Kusini hawakuondoka kwani huko hawakutaka huo Uhuru ?
Watanzania wenzangu puuzeni huu uzushi.Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
Rudi shūle ukasome TENA😰😰😂😂😂😂😂😂😂😂Nani amekudanganya ? Unafikiri kwa nini Wakulima wa Kizungu hawa kuseto Afrika badala yake wakahamia Bara Amerika ? Hata Afrika yenyewe sehemu pekee waliohamia ni Afrika Kusini ambaye climate yake ni tofauti kabisa na Tanzania!