zuri ni kuwa rais asieweza fanya maamuzi na kuruhusu kila mtu ajifanyie anachotaka
Duuuh !
Ina maana raisi wetu hana zuri hata moja ?
Duuuh !
Ina maana raisi wetu hana zuri hata moja ?
Ku-promote haki za wanawake- RCs, DCs etc
hili swali Kikwete aliulizwa na Fm kibonde pale Serena wakati wa uchaguzi 2010, " unataka watanzania wakukumbuke kwa lipi?"
mh. akajibu "nimewatoa hapa nimewapeleka pale"
binafsi nilishtuka saana, yeye mwenyewe hana chochote cha kujivunia, ww utakaye msifia utamsifu kwa lipi. nyambafu....
Cha mkopo kutoka kutoka mashirika ya mafao ya uzeeni ya wafanyakazi. Pesa ambayo serikali haielewi italipa vipi. Wakati huo huo inamwaga mihela kwenye mikataba ya hovyo hovyo km. DOWANS, IPTL, Meremeta etc!Chuo kikuu dodoma
Hivi kumbe Kigoma siku hizi ni lami?? Labda lami za huko huko ndani kwa ndani kwenda Burundi...Kaka wewe ndio unaleta propaganda, sisi tuliopo Kigoma tunamshukuru kwa kutuletea lami, mojawapo toka Mnanila hadi Kigoma mjini. Tushukuru jamani tusiwe wabishi kwa itikadi zetu, tuseme ukweli.
Acha uongo wako,,, hapa sio Dar es salaam...Tembea utaona Mh.Jakaya Kikwete aliyoyafanya..wewe umekaa tu ukiamka ubungo kariakoo hadi unamaliza mwaka...tatizo lenu mnadhani nchi ipo Dar es salaam peke yake..tembeeni muone Kikwete aliyoyafanya nchi hii.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni banaa!!
1. Rais mwoga kufanya maamuzi kuliko wote waliowahi kuwepo
2. Rais asiye na job description hivyo kumkosesha kujua vipaumbele vyake ni nini
3. Rais ambaye kila kona ya nchi ukipita utaambiwa huyu ni mtoto wa "..."
4. Rais aliyevunja record ya kuanguka anguka majukwaani kwenye kampeni zake zote za Urais
5. Rais mtalii zaidi duniani
6. Rais aliyemilikisha mali za nchi kwa familia yake
7. Rais ambaye kila mwanafamilia wake ni mwanasiasa wa CCM na NEC imejaa ndugu na jamaa zake akiwemo mke na mtoto
8.
Tembea utaona Mh.Jakaya Kikwete aliyoyafanya..wewe umekaa tu ukiamka ubungo kariakoo hadi unamaliza mwaka...tatizo lenu mnadhani nchi ipo Dar es salaam peke yake..tembeeni muone Kikwete aliyoyafanya nchi hii.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni banaa!!