Amekua SHAROBARO wa 1 kuwa rais wa nchi,pia tujivunie kwa hilo.
Mimi nta mkumbuka kama raisi aliye shindwa kuongoza nchi, kama wakati anaingia madarakani deni la taifa ni bill 5, leo ni bill21,kama kiwango cha ufaulu kili kuwa zaidi ya asilimia themanini leo kipo arobaini na, je na wewe utamkumbuka kwa lipi?
Mimi nitamkumbuka kwa kuigawa nchi kwa misingi ya udini na kuuwa msingi wa mshikamano aliouanzisha Mwalimu Nyerere, nitamkumbuka pia kwa kushindwa kumfukuza kazi Edward Hosea hata pale alipomuanika mbele ya majasusi wa kimarekani kwamba hana ubavu wowote wa kupiga vita rushwa! Nitamkumbuka pia kwa kuwa rais anayependa ujiko sana...eti Doctor Kikwete...[pampaf kabisa!Mimi nta mkumbuka kama raisi aliye shindwa kuongoza nchi, kama wakati anaingia madarakani deni la taifa ni bill 5, leo ni bill21,kama kiwango cha ufaulu kili kuwa zaidi ya asilimia themanini leo kipo arobaini na, je na wewe utamkumbuka kwa lipi?
Barabara za lami Nchi nzima
........
Barabara za lami Nchi nzima
......