Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Mjanja sana yule. Mlimponda sana kumbe alikuwa anawaandalia kombora la Magu. Lazima mmkumbuke tu. Kufikia kuandika hii post lazma utakuwa umemkumbuka wacha unafiki soma number.
Hata Hitler anakumbukwa kuna mazuri aliyafanya, sasa kwanini JK asikumbukwe ninyi ndio wanafki amabo mmashindwa kujirudi na kuonesha japo ushauri kwa Magu, na namba unazisoma sana tu usijidanganye.Mjanja sana yule. Mlimponda sana kumbe alikuwa anawaandalia kombora la Magu. Lazima mmkumbuke tu. Kufikia kuandika hii post lazma utakuwa umemkumbuka wacha unafiki soma number.
Mh. Rais wangu,nikupongeze kwa kuchaguliwa kumaliza awamu yako ya pili na ya mwisho kabla hujaanza kuitwa mstaafu,ni ahadi nyingi sana ulizotuahidi watanzania mwaka 2005 na baadaye 2010.
Kwa mtizamo wangu kipingi ulichokaa madarakani ni kirefu zaid kuliko kipindi ulichobakiza kumalizia mda wako.
Hoja yangu ni kuwa kama ni vigumu kwa muda uliobaki kufanya lolote la kukumbukwa na watanzania,watanzania tumekata tamaa ya maisha,hakuna wa kutuma matumaini kwa siku zijazo baba umekaa kimya,nchi imekatikatika kwa mijadala isiyoisha.
Mh. Rais, 10yrs bila maendeleo ni jambo gumu ambalo athari zake kwa jamii ni kubwa!,kwa madogo uliyofanya kama kwenye michezo tutakukumbuka daima!
Naomba kuwasilisha.
Inatakiwa ukapimwe mkojo c bureKWA KUITAFUNA NCHI NA KUIACHA MIFUPA MITUPU. KUACHILIA VYUO NA SHULE ZA WATOTO WETU KUWA HOI, KUIFIRISI HOSPITAL YETU MUHIMBILI, NA PESA ZETU ZOTE KUPELEKWA INDIA APPOLO HOSPITAL. HATUNA LA KUFANYA KIKWETE ANGEKAMATWA BADALA YA TUNDU LISSU. MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU.
Wenzako wanmkumbuka sasaKikwete is a Dictator in making hajijui na wengi hawajui.
Dhaifu sio ... Sasa hali mnaionaje ???Raisi dhaifu na goi goi, muasisi wa bajaj za wagonjwa....raisi wa zero form four
Inatakiwa ukapimwe mkojo c bure