Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
hili swali Kikwete aliulizwa na Fm kibonde pale Serena wakati wa uchaguzi 2010, " unataka watanzania wakukumbuke kwa lipi?"
mh. akajibu "nimewatoa hapa nimewapeleka pale"
binafsi nilishtuka saana, yeye mwenyewe hana chochote cha kujivunia, ww utakaye msifia utamsifu kwa lipi. nyambafu....
mh. akajibu "nimewatoa hapa nimewapeleka pale"
binafsi nilishtuka saana, yeye mwenyewe hana chochote cha kujivunia, ww utakaye msifia utamsifu kwa lipi. nyambafu....