Kama nisingekuwa rais basi ningechagua kuwa msanii_by jk siku ya meimosi ccm kirumba 2015
Kama nisingekuwa rais basi ningechagua kuwa msanii_by jk siku ya meimosi ccm kirumba 2015
Mimi nimeshajiandaa kisaikolojia kwa ujio wa Rais mpya, sioni cockroch yeyote ndani ya CCM wa kuweza kumzuia mwanaume huyu wa Shoka, na kwa jinsi nijuavyo JK ni lazima ajisalimishe mapema kwa Lowasa ili visenti vyake vya uzeeni aweze kuvitumbuwa kwa amani.
Lowassa ni stering wa Kihindi, huwa anaanza kwa kupigwa na kuteswa lakini mwisho wa Sinema mtabaki vinywa wazi. na kwa wale wanaoamini kwenye maombi yule Nabii ambaye yupo duniani TB Joshuwa yeye tayari ameshamhakikishia Lowassa asubili kuapishwa tu.
Maumivu ya homa huanza polepole wale wanaccm wasiomtaka Lowasa wajiandae kisaikolojia mwenyekiti wa Ccm ndugu JK ameyasema hayo mchini Africa kusini kusini kwenye mkutano wa AU akiwaambia marais wenzanke kwamba kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa Ccm yeye ana kura moja tu.
Source: Taarifa ya habari ya redio one saa 2 usiku huu.
My take:
Wenye akili timamu waelewe hii inamaanisha zengwe lolote ndani ya kamati kuu kura ndio zitaamuwa na ukweli ni kwamba kila mwana Ccm ana bei yake namuona Lowasa anavyowaachia manyoya wachovu wa kampeni waliobakia.
I thnk is typing error..kikwete....
Mkuu;
Unalikumbuka hili andiko lako la mwaka 2012?.
Kamati kuu uwa kura haipigwi.