Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

wajumbe_nec.jpg


...usiwe na wasiwasi'. Mimi, mama, baba, na wajumbe marafiki tutakupitisha!
 
Hivi nani anamwamini JK? Ninazo taarifa sahihi kuwa, JK akiongea kwa simu na mmoja wa wenyeviti wa CCM wa mkoa mmojawapo wa kanda ya ziwa alimuuliza kuhusu maendeleo na hali ya kisiasa hapa mkoani juu ya Mgombea Bernard Membe....pia akamuuliza wajumbe wa NEC katika mkoa wake wamewekwa sawa?.....
 
Tatizo la jk ni uongo mwingi...km aliwahi kuikana dowans itakuwa hili la Mgombea!!!
Ukawa for 2015
 
Kutokuwa na mtu sidhani kama ni jambo jema kwa nafasi yake kama baba anapokaribia kustaafu alitakiwa awe na mtoto aliyempima vizuri kwa vigezo vya manufaa ya Taifa . . . . . kama tumemuamini katika miaka kumi basi tusingeshangaa kama angekuwa na majina mawili ambayo yangefanyiwa kazi na mwisho tuchague. . . . . . . Ok mzee hana jina la anayefaa lakini pia hajui hata wasiofaa??!!!

Haya tuombe kuepushwa. . . .

Hajui wajibu wake kama baba
 
Hata kama alikuwa naye bado ameahindwa kumuandaa kuwa mrithi, baada ya kuona nje watu hawamkubali akaona itakuwa aibu ndo anaamua kutuzga eti hakuwa na mtu... haya baba usiyejua maana ya kurithisha nyumba yako ila usipokuwa makini yatakutokea puani endapo utashindwa kutuachia mtu safi ...tutakulaumu daima.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom