Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tumuulize makubaliano yake na Lowasa atayaacha wapi?Hakuna mtu muongo kama JK
Yupo, yule aliyedanganya kuwa hana mke akataka kufunga ndoa na mke wa mtu. Mkewe akajitokeza na ndoa ikazuiwa.Hakuna mtu muongo kama JK
huyu ndio rais hana makundi na tumeshuhudia uongozi wake uwajibikaji upo sijui wapinzani wanataka uongozi gani.
Kikwete is the best president in Africa
Joke of the century.... only comes from low thinking person!!
wapinzani wanataka mandamano ndiyo jambo lao kubwa wanalopenda.
Mkuu umeshawahi pitia cv zake huyu mtu tangia awe rahis...
Yap nimepitia na ahadi zake zote ninazo hapa nilipo na 100% ya kuzitimiza ninazo unasemaje mkuu?
Kutokuwa na mtu sidhani kama ni jambo jema kwa nafasi yake kama baba anapokaribia kustaafu alitakiwa awe na mtoto aliyempima vizuri kwa vigezo vya manufaa ya Taifa . . . . . kama tumemuamini katika miaka kumi basi tusingeshangaa kama angekuwa na majina mawili ambayo yangefanyiwa kazi na mwisho tuchague. . . . . . . Ok mzee hana jina la anayefaa lakini pia hajui hata wasiofaa??!!!
Haya tuombe kuepushwa. . . .
Huyu ndio rais hana makundi na tumeshuhudia uongozi wake uwajibikaji upo sijui wapinzani wanataka uongozi gani.
Hakuna mtu muongo kama JK
...usiwe na wasiwasi'. Mimi, mama, baba, na wajumbe marafiki tutakupitisha!