Hahahaha mkuu usishangae ccm wote ndo walivyo
Sidhani kama kuna mwenye afadhali
Vyeo vilitolewa kwa undugu au kwa sifa? Demokrasia iliyoonekana kipindi cha kikwete kuna hawamu yoyote uliwahi kuiona? Je miaka ya nyuma uliona wapinzani wanasauti kama leo ya kumtukana rais hadharani? Kama ni undugu na urafiki Rostam na El wasingewajibika kwenye utawala wa JK au tatizo kubalance vyeo bila kujali dini,kabila na jinsia ndio undugu?
Hata kama alikuwa naye bado ameahindwa kumuandaa kuwa mrithi, baada ya kuona nje watu hawamkubali akaona itakuwa aibu ndo anaamua kutuzga eti hakuwa na mtu... haya baba usiyejua maana ya kurithisha nyumba yako ila usipokuwa makini yatakutokea puani endapo utashindwa kutuachia mtu safi ...tutakulaumu daima.
Hatutaki rais mpenda mitandao ya kirafiki isiyo na tija kwa masikini,na asiye mchapakazi wauwezo wake ki akili ni mdogo kiasi cha kuongozwa na mawaziri, we need MAGUFULI,KWA HESHIMA YA CCM NA TAIFA LETU .
Tumieni akili jamani...anayemwamini JK ni nani? JK. anaweza kumdanganya Mungu hivi hivi...kumbe hajui kuwa Mungu anamchora....!!