Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,701
everyting has a reason,mi nnachoona hapa ni kuwa huyu mswahili anataka tu kukwepa majukumu yake ya msingi hapa nyumbani,mnjua nchi hii na chama chake viko katika unprecented crisis tangu uhuru,utapeli na usanii mtupu.sasa jamaa kaona bora akapumzike kidogog huko kwa wale wanaojua utawala na uongozi ni nini.
hebu fikiria kuna mgomo unaonukia wa wafanyakazi,kuna waislamu na manji,kuna mwafaka na cuf,pia latest ni la zitto na reaction ya watu,isitoshe add crisis ya ndani ya ccm,kwa nini mswahili wetu asipagawe?
Mwl Nyerere alimkataa tangu zamani,hkusiskia,matokeo yake kabeba hela za magabachori kina Rostam kwa kushirikiana na matapeli wa elimu na maprofesa wa usanii kina Mukandara ma media house ya ovyo kabisa ya Habari Corp kupitia Rai wakaiteka nchi..haya sasa ngoma ipo uwanjani mswahili anapagawa... na bado 2010 tunamsubirir kwa utapeli wake aliotufanyia.
hebu fikiria kuna mgomo unaonukia wa wafanyakazi,kuna waislamu na manji,kuna mwafaka na cuf,pia latest ni la zitto na reaction ya watu,isitoshe add crisis ya ndani ya ccm,kwa nini mswahili wetu asipagawe?
Mwl Nyerere alimkataa tangu zamani,hkusiskia,matokeo yake kabeba hela za magabachori kina Rostam kwa kushirikiana na matapeli wa elimu na maprofesa wa usanii kina Mukandara ma media house ya ovyo kabisa ya Habari Corp kupitia Rai wakaiteka nchi..haya sasa ngoma ipo uwanjani mswahili anapagawa... na bado 2010 tunamsubirir kwa utapeli wake aliotufanyia.