Vp meneja wa bar unayouza anafunga saa ngapi
Haulazimishwi. Sikiliza tu hata rais wako mbowe. Huyo tuachieni sie wenyewe.
Haulazimishwi. Sikiliza tu hata rais wako mbowe. Huyo tuachieni sie wenyewe.
Fungulieni tv arusha mumuangalie lema. Jk piga kazi watu wanataka kujifukia kimuhemuhe kimewashika.
me nashangaa sana hv kwa nin anapenda kuzungumza na wazee wa dar? yani ilikuwa bado beat 2,,, taarabu ikamilike
Kweli kabisa rais anakwa na mipasho kwa wananchi wake hii mpya Kweli mkulu kaishiwame nashangaa sana hv kwa nin anapenda kuzungumza na wazee wa dar? yani ilikuwa bado beat 2,,, taarabu ikamilike
kumbe n wengi hata mi fasta channel ilbadishwa coz hamna jipya..Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
Jamaaa boraa angepoteleaa kwenye ndegee ya malaysiaaa
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.