Rais Kikwete kweli watu wamekuchoka

Rais Kikwete kweli watu wamekuchoka

Amalize mienzi yake iliobaki andoke watu wamechoka na usanii wa huyu bwana.alafu kashajua temeke huku kunawajinga.kila Mara mambo yakienda kombo anakusanya wale vikongwe vinamakelele ya kufa mtu.7bu ya buku 10
 
me nashangaa sana hv kwa nin anapenda kuzungumza na wazee wa dar? yani ilikuwa bado beat 2,,, taarabu ikamilike
Kweli kabisa rais anakwa na mipasho kwa wananchi wake hii mpya Kweli mkulu kaishiwa
 
!
!
mie nimeuza na tv kabisa nisimuone tena....na siku nikimsikia tu redioni na yenyewe naiuza mara moja
 
Amekua akiwalaghai bongo muvi kwa kupitia Stivu nyerere na bongo freva kupitia luge hao ndio wamekuwa wafwasi wake na ndio eti watu wa kuhamasisha
 
Sijamsikiliza kabisa sababu nilijua ataongea nin? He z very predictable thus no need to bother.
 
Jamaaa boraa angepoteleaa kwenye ndegee ya malaysiaaa
 
Mtasema yoote lkn jamaa ndo anchanja mbuga akiwaacha mnagombea madaraka , katiba nayo imewashinda
 
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
kumbe n wengi hata mi fasta channel ilbadishwa coz hamna jipya..
 
Jamaaa boraa angepoteleaa kwenye ndegee ya malaysiaaa

....Madam Dinazarde upo??? Heshima kwako Dada !!!

ninamahasira sana kesho kutwa natoa mchango wavitabu vya kiada Arusha kwa watoto wa darasa la kwanza mpaka la saba !!!


hawa magamba!!!
 
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.

nilisha ahidi sitaki kumuona wala kumsikia mpaka mwisho wa utawala wake. kiukweli ameirudisha nyuma sana NCHI HII.
 
Dah mzee wangu ndo hataki kabisa kumsikia...alipoona tu hotuba akatoa akaweka cartoon.
 
Back
Top Bottom