Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,466
- 283,828
Basi mi nikiona tu picha najihisi kichefuchefu...
unasema kweli mjomba ?
Basi mi nikiona tu picha najihisi kichefuchefu...
Wewe shetani peopo mbaya, unamdharau rais wako?? Wewe utakuwa unamdharau hata baba yako na mama yako
Raisi sio baba yake kima wewe, raisi anaweza kupatikana kwa rushwa lakini sio baba ccm jifunzeni kujibu hoja kwa hoja sio hoja kwa matusi hata kama ndivyo mnavyo fundishwa na NEC ya ccm.
Hatutegemei wale wafua nepi za junior wakapenda hotuba zake
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
Duh wewe kweli bweege maana hujafuatilia hata mjadala una kurupuka tu utadhani umetoka kunyaa.
Duh wewe kweli bweege maana hujafuatilia hata mjadala una kurupuka tu utadhani umetoka kunyaa.
Hatutegemei wale wafua nepi za junior wakapenda hotuba zake
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
Msikieni tu wenye nafasi hiyo jamani. Ndo mkuu wa nchi yuyo. Zidumu fikra sahihi za M/Kitiiiiiii..sema.. Zidumu. Kwa heri zenu, naenda kulala mapema akimaliza niangalie Isidingo the need.
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
Naunga mkono hoja..Bora kusikiliza taarabu au ze comedy kuliko kumsikiliza Kikwete.
Rais wa ccm,tanzania haina rais zaidi ya kotiHata mkizima Tv na Radio bado ataendelea kuwa Rais wenu!
Hata mkizima Tv na Radio bado ataendelea kuwa Rais wenu!