lazima awe hivo anajua fika na kwa dhati ya moyo kile kilichotokea ktk uchaguzi 2010....msishangae sana..hizo ndo tabia za mtu aliyepata "USHINDI" wa mbeleko.......haya ndio maajabu ya Afrika....ndio maana baada ya miaka 50 ya muungano tunasheherekea na kujivunia uchumi wa BODABODA (Bodaboda economy), bajaji, baiskeli na mikokoteni.....Katika hayo ni moja tunalofanya wenyewe ni kutengeneza mikokoteni tu basi
huwezi kuwa na fikra za wizi wa kura alafu tukategemea kuna la maana utalifanyia taifa kama kiongozi.....nafasi ya fikra za namna hii ni lazima ifikie mwisho ili taifa liweze kusonga mbele.
badala ya kusheherekea miaka 50 muungano kwa kuzindua safari ya wanasayansi wetu na wahandisi kutengeneza japo baiskeli yetu kama Tanzania, tunahutubia taifa kuwaeleza watanzania habari za kughushi sahihi, mipasho ya taarabu za CCM idumu, na mazonge ya ukosefu wa fikra pevu na endelevu kwa ustawi wa nchi na watu wake..
nasikia tumeandaa maandamano ya ya bodaboda na baiskeli leo pale uwanja wa taifa,,huu ni uthibitisho mwingine wa aina ya maisha ambayo viongozi wetu wangependa watanzania waendelee kuishi.....furaha ya watawala wetu ni kuona tulio wengi wengi tunaishi kwa kutegemea uchumi wa bodaboda, bajaji, baiskeli na mikokoteni..huo ndio ukomo wa maino yao kwa taifa letu.
watambue wakati wowote kuanzia sasa kama wananchi tutatoa adhabu kali kwa watawala hawa..