Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,572
- 16,047
Wana JF,
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wakizima TV na radio zao baada ya kuona JK anaanza kuhutubia. Wengine wanasema kumsikiliza huyu jamaa ni kujiumiza kichwa bure.Maana TV stations na redio mbalimbali zimeweka hicho kipindi, watu wanaona ni bora kuzima vyote na baada ya yeye kuhutubia ndo wawashe TV na radio zao.Hii inadhihirisha jinsi gani watu walivyomchoka rais Kikwete.
Wewe shetani peopo mbaya, unamdharau rais wako?? Wewe utakuwa unamdharau hata baba yako na mama yako