Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
wazee wa kiswahili wa dar hawana ujasiri wa kumuuliza maswahili.wao ni kupiga makofi tu.
Hii ni nini? Wazee wa Kiswahili wakoje, wanatoka maeneo gani? Hebu Nijibu Mkuu.
wazee wa kiswahili wa dar hawana ujasiri wa kumuuliza maswahili.wao ni kupiga makofi tu.
Mnao fuatilia hizi hutuba zake huwa anaruhusu maswali kutoka kwa watu huru?
"Tumempoteza mwanasheria mahiri kwa sababu zisizo na msingi alikuwa hodari sana kajiuzulu mzee wa watu----------------"
Ni bora ataarifiwe mapema kwamba Watanzania hatutapenda kusikia hadithi za tezi dume, tuliyoyasikia kuhusu tezi dume katika hotuba yake aliyoitoa JKN Airport yanatosha.
Kikwete hana mapya..kazi yake akihutubia ni vijembe na mipasho.huyu baba hatumtaki amalize muda wake aende zake
pengine tusubiri kuona anahutubia kuhusu nini maana mtoa mada hajasema hotuba italenga nini kama anataka kuongea mambo ya fainali za uzeeni utamkataza kuchagua hadhira hiyo. ila kama anataka kuongelea escrow kwa kweli itakuwa shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tuwe na subiraHistoria ya Jk sio nzuri anapochagua hadhara ya wazee
Hii ni nini? Wazee wa Kiswahili wakoje, wanatoka maeneo gani? Hebu Nijibu Mkuu.
Ni bora ataarifiwe mapema kwamba Watanzania hatutapenda kusikia hadithi za tezi dume, tuliyoyasikia kuhusu tezi dume katika hotuba yake aliyoitoa JKN Airport yanatosha.
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu
atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam ijumaa wiki hii alasiri.
Chanzo: Ikulu
Lini ataongea Na wazee wa kilimanjaro.
!
!
haswaaa na aache mambo yake ya kingese ya kuchekacheka hovyo katika mambo yaliyo serious.
Tulimpoteza pia LOWASSA kwa uongozi wa huyu huyu.
Sikutaka koment kwa thread hii, ila post yako imenigusa.
Lini ataongea Na wazee wa kilimanjaro.