Hana mvuto wala ushawishi tena mbele ya umma kwani kesha poteza political legitimacy ya kuwa kiongozi wa nchi.
Unataka maamuzi gani au unataka akufukuze nchini kutokana na uharifu wako.afanye maamuzi wanayosubiri watanzania kuongeaongea kila mtu anaweza
Kwanini unamchagulia kundi la kuzungumza nalo we mbugila kweli.Well said, very weak president ever. Mbona haongee na vijana, anakimbilia wazee ambao hawawezi uliza swali hata moja, by the way acha azubae hivyohivyo kwani hao vijana ndo watakitoa chama chake madarakani next year
Vijana walishaambiwa wao ni taifa la kesho. Kesho yenyewe haifiki!!Kila wakati anahutubia wazee dar,kuna vijana wa dar pia wanashauku ya kumsikiliza.
..wezi wa ikulu wanajipanga jinsi ya kutoka kwenye sakata hili...ndio maana kuna kigugumizi....hiki kigugumizi cha ikulu kuchukulia wezi hatua kina maswali kuliko majibu...na watu makini(wakiwemo wafadhili) wanafatilia kwa karibu kigugumizi hiki...Btw...kuhutubia ama kutohutubia wala si hoja....hoja ni wezi kuchukuliwa hatua stahiki kwa mujibu wa sharia za nchi....rais hana msimamo ...kuna ubishi gani unaendelea ikulu? Mara nitahutubia leo ..mara ijumaa
toka jumatatu tunaambiwa kuna hotoba .....
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu
Hana mvuto wala ushawishi tena mbele ya umma kwani kesha poteza political legitimacy ya kuwa kiongozi wa nchi.
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu
Ni wale wale wacheza bao na zuna wa magomeni na Ilala au anabadilisha safari hii?Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu
Kwanini asihutubie Wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaaam campus ya Mlimani ??
Lini ataongea Na wazee wa kilimanjaro.
Hana mvuto wala ushawishi tena mbele ya umma kwani kesha poteza political legitimacy ya kuwa kiongozi wa nchi.
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu