Rais Kikwete kuhutubia Ijumaa

Rais Kikwete kuhutubia Ijumaa

Kuna mambo wala hutakiwi kwenda fom four kujua kuwa msela pale magogon pamemshinda anamda mzr sn kubadirisha wakuu w mikoa lkn c kusema kuhusu escrow anaweza sn kuongea na wanachama wachache wa ccm kwa kuwalipa lkn c kujua kwann watz ni maskini wenye hasra tulisha mchagulia gole la kati
 
Kwa tafsiri ya CCM, wazee ni wale watu wasio na upeo wala uelewa. Kwa hiyo hii inamaanisha kuwa Rais ataongea na wana CCM wasio na upeo Ijumaa. Rais Kikwete amekuwa na kawaida hii kila inapoonekana kuna jambo kubwa na yeye anataka kulijibu kiurahisi.
 
Hata ukiwa kijana lkn umevaa kofia ya kijani na tshirt unapewa posho na kujulikana kama kijana
 
....


bora hii mambo wepo siku hiyo hata marudio tu !!!

1371524-29424506-640-480.jpg
 
Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu

Shida yake ni pale anapongojea watu wengine (EU, US, GAC, PAC, wabunge, pccb) wanuse harufu ya uvundo kutoka chumbani kwake kabla ya yeye kuisikia harufu hivyo na kuichukulia hatua.
 
AKISHAMALIZA KUONGEA HAYA MANENO YAFUATAYO WAZEE WA DAR WANAANZA KUMPIGIA MAKOFI NA KUMSHANGILIA
''Toka nimerudi nimekuwa nikifanya sana mazoezi, kwasababu nilishauriwa ivyo na madaktari. Nyuzi zimejikaza vizuri kabisa bado najadiliana na wenzangu Ikulu tupange siku ya kwenda Marekani kufumua nyuzi, nyuzi zao ni nzuri kweli yaani unaweza usijue kama ni uzi unaweza sema ni nyaya. Kwahiyo naamini kuanzia mwakani mama Mwanaasha nitaanza kumpa haki yake niliyonyima kipindi changu chote cha ugonjwa''
 
Hata akimtuma Rweyemamu, hana jipya ila kuiwangia ccm. Alitaka aone mwelekeo wa chaguzi za mitaa. Upinzani wame m beep. 2015 watampigia akiwa bado m/kiti wa ccm
 
Mr.President, be a man. This is your house, (at least for now) wear some pants.

That's all I have to say.
 
Kwa tafsiri ya CCM, wazee ni wale watu wasio na upeo wala uelewa. Kwa hiyo hii inamaanisha kuwa Rais ataongea na wana CCM wasio na upeo Ijumaa. Rais Kikwete amekuwa na kawaida hii kila inapoonekana kuna jambo kubwa na yeye anataka kulijibu kiurahisi.

Well said indeed.
 
Kama kawa, pilau kwanza kwa wazee, pili hadithi ya mbayuwayu, ukipewa ushauri changanya na za kwako.

Mwisho, warudishe upepo utakuwa umepoa. Sisi sio china hata kama tunatamani kuendelea kama wao.
 
Honestly hotuba za JK huwa hazina mvuto kusikiliza, hebu kumbuka enzi za mzee UKWELI na UWAZI, ukisikia siku hiyo anahutubia ni km kuna match kati ya Man U na Chelsea..
 
Kipindi cha pili (miaka mitano) prof kahutubia vyuo vikuu mara ngapi? Sina kumbukumbu
 
hivi mnategemea nini kama wasaidizi wake wa ikulu ni mojawapo ya waliopata mgawo wa escrow? mnategemea hao wasaidizi wamemshauri nini kuhusu hili swala la eSCROW?
Huyu Rais ni kama ndoto mbaya vile, tunasubiria november 2015 kuamka kutoka hii ndoto mbaya
 
Nani apoteze muda wa kusikiliza pumba za mkuu wa mafisadi? Mnafiki, msaliti wa uma, mwongo, fisadi aisiye na haya na wala hana hoja zozote za maana. Anaudhi nikidogo?
 
Kapiga pesa sasa anakuja kwa kuwatumia wazee wa dar es salaam ili aonekana mwingi wa busara kumbe wizi mtupu, haiwezekani pesa nyingi zinaibiwa alafu katibu wa rais anahusika kuandika barua na kusema fateni maelekezo ya mwanasheria mkuu alafu dili iwe haijafika kwake. huu n usanii mkubwa sana
 
Back
Top Bottom