Rais Kikwete kuhutubia Ijumaa

Rais Kikwete kuhutubia Ijumaa

Atahutubia taifa kupitia wazee wa dar es salaam Ijumaa wiki hii alasiri.
chanzo: ikulu

Hivi hii nchi ni ya wazee tuuu? Make me najua unapokuwa baba kuna wakati utaongea na familia kwa ujumla cku ingine na kaka, dada, mjukuu na mama... Toka huyu apange Ikulu ni yy na wazee tuu tena wa Dodoma na Dar pekee... Songea hakuna wazee? Kweli kama baba tunae...
 
Nackia anataka kuwaonyesha wazee busha lake make wazee wa Pwani huwa wanashindana kwa ukubwa wa mabusha...
 
Kwanini asihutubie Wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaaam campus ya Mlimani ??

ili iweje dogo, we unachukulia mlimani ndo kila kitu? kuna mamilioni hawana habari hata kama ina exist. Take your time to think
 
Hivi hii nchi ni ya wazee tuuu? Make me najua unapokuwa baba kuna wakati utaongea na familia kwa ujumla cku ingine na kaka, dada, mjukuu na mama... Toka huyu apange Ikulu ni yy na wazee tuu tena wa Dodoma na Dar pekee... Songea hakuna wazee? Kweli kama baba tunae...

hizo ni mbwembwe tu, angeweza kuhutubia ikulu peke yake tukarushiwa kwenye luninga, hadhira hiyo haitabadili alichopanga kuamua au kutenda.
 
Namchukia kama nn? Yaan upande wang bora akae tu kimya mpaka muda wake uishe aondoke
 
....


bora hii mambo wepo siku hiyo hata marudio tu !!!

1371524-29424506-640-480.jpg

dah inaweza kuonekana ni masihara tu lakini hii ni dharau kubwa kwa rais wa nchi. yaani rais anataka kuhutubia nchi halafu wewe unataka kuangalia mechi na mechi yenyewe marudio! ila haya yote anastahili na hata mimi pia kwa kuwa siku hiyo itakuwa ni ijumaa nitaenda beach kubariz
 
Tezi Dume zitakuwa zimepona!!
kumbuka hata ikipona alituambia siku ile kuwa daktari alimwambia ASIFANYE KAZI NGUMU. sijui yeye alielewaje kuhusu KAZI NGUMU?
 
Haiwezekani RAIS mmoja (1) abadili Mawawaziri wakuu (mara 2), mawaziri (mara 4 au zaidi), Makatibu wakuu (mara 4 au zaidi), wanasheria wakuu, (3), mabalozi -kila akihisi upepo wake wa kutembea ni wapi ana weka anae mtaka huko na wakuu wa mikoa zaidi ya mara 5 , wakuu wa Wilaya akiamuka tu asubuhi anabadili ndani ya miaka 9 na bado ufanisi usiwepo. Ametuongezea idadi ya wabunge mara dufu ili tu washikaji wapate nafasi, ametuongezea idadi ya mikoa na wilaya mara dufu hizi zote zimeongeza gharama kwa wananchi MARA DUFU. Mm nadhani ni wakati wake kuachia ngazi. Haiwezekani acheke cheke tuuuu na nchi inaisha. Ni bora nchi ibaki msimbe kuliko yy kuwepo angalau kwa miezi 10 hivi.
 
Ahutubie asihutubie it doesnt make any difference aiseeee, siku zote alizohutubia aliishia kucheka tu hata kwa issues ambazo ni serious. na ndio maana anaongea na wazee!! wazee?/ ili wampgie makofi kila anachokiongea...thanks, nitaangalia katuni

Nchi haina kiongozi. Anatafuta sympathy ya wazee. Kwa nini asiite watendaji wake wakuu, wasomi na viongozi wa siasa?
 
afanye maamuzi wanayosubiri watanzania kuongeaongea kila mtu anaweza

Nina wasiwasi atawaeleza hao wazee sababu za kutokukubaliana na maamuzi ya Bunge na hivyo kutokuwawajibisha kina Muhongo na wenzake. Ni wasiwasi wangu ila tusubiri siku ifike.
 
Hivi tulikua tunasubiri awachukulie hatua mafisadi au awahutubie wazee?. Tukizubaa tumeliwa.
 
Hata akiwahutubia, hasaidii kwa lolote. mpaka sasa wanalipia garama za matibabu. Hana mvuto
 
...! Huyu Rais Ni Mubaguzi, Anaongea Na Wazee Tu Tena Wa Dar Na Dodoma. Kwann Asiongee Na Vijana Wa Chuo Kikuu?

Thubutuuuua.,..anaujua mziki wa vijana.Vijana wengi wameshajielewa hawataki upuuzi.Wamebakil mamluki wachache tu wasio na nia njema na taifa letu.
 
theme hapo ni werema alitoa ushauri mzuri utekelezaji ulikuwa mzuri hela si za umma kuna watu wabaya wasotakia amani nchi yetu wanatumiwa kutugawa.Kuna vimakosa vidogo vidogo hatua za kinidhamu kuchukuliwa
 
Hivi hawa "wazee" waliwahi kutoa tamko gani au ushauri gani kwa Rais au umma wa Watanzania! Sio lazima kucopy na kupaste mambo ya nyuma. If you don't know how to paste don't copy
 
Back
Top Bottom