mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Nikupunguza nguvu ya Bunge kama wabunge zaidi ya 50 nis ehemu ya serikali (Mawaziri na naibu wao) sasa ukiongeza na wabunge wa kuteuliwa (10) na hao wanaoteuliwa kuwa RCs and DCs (5) ndani ya bunge rais anakuwa na wateule wake 65 katiya wabunge wote 360 hii ni sawa 19% kwa hiyo anahitaji 15% tu kuzuia 2/3 ya bunge lote