Kabatini.ikowapi thread yangu ya uteuzi wa ma Rc na Ma Dc,
Ha ha ha ha ha ha bila uswaiba hupati,bila udini hupati,kama si kada mnyonyaji hupati,Kabatini.
hapo kwenye bold...! ndiyo reward yake hiyo kwa kufanya kazi kubwa !i! umeshasahau alipokuwa anatetea kila kitu cha serikali bungeni mpaka tukawa tunashangaa ? miongozo miingi....!Mhhh!! uteuzi huu?????
Mwantumu Mahiza......alikosa ubunge + uwaziri
Joel Bendera ..............alikosa ubunge +uwaziri
Eng. Stella Manyanya......huyu ni mbunge......!!!!!!!
KILA LA HERI TANZANIA NA WATU WAKE.....kama vipi katiba mpya ikija tuweke wazi kuwa mamlaka ya kuteua watendaji izingatie vigezo fulani na kuwepo na mamlaka ya kuthibitisha uteuzi wa Rais ktk vyeo kadhaa ili kuepusha janga la kuwa na viongozi majanga.
Kaisha teuwa mkuu mambo ya vigezo too late wengi watakuwa wanawake na maswahiba waliokosa seats sehemu mbalimbali kikwete hana ubavu kuteuwa mtu mwadilifu itakula kwake
Afadhali Mwakipesile ameondoka Mkoa wa Mbeya! Ameleta makundi yasiyo na maana Mkoani humo, amekuwa mbabe kupindukia!