idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 May 4, 2012 #1,001 sada ameteuliwa leoleo ubunge leoleo uwaziri hii kali.
L Lusaa JF-Expert Member Sep 12, 2011 270 112 May 4, 2012 #1,002 Nyalandu Maliasili .... nimechoka kabisa
Mtende JF-Expert Member Sep 27, 2010 6,385 7,295 May 4, 2012 #1,003 mi naona ni walewale tu hakuna aliyebadilishwa wala kufukuzwa
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 May 4, 2012 #1,005 Hahahahaah! Eti Malima kapelekwa kilimo, january makamba kaula naye..
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,653 May 4, 2012 #1,008 Makamba na makalla ni N.waziri mmmhhh jamani.
Mapi JF-Expert Member Mar 10, 2011 6,850 2,732 May 4, 2012 #1,009 yaani unateuliwa mchana kuwa mbunge, jion naibu waziri
U Uparo Member May 4, 2012 55 9 May 4, 2012 #1,010 Wana jf hivi ni kwanini hatuthubutu kuwa na jambo jipya?ama kweli mkuu wa kaya kachemka
J josiahamon Member Oct 29, 2011 8 0 May 4, 2012 #1,011 Baraza jpya la mawaziri linatangazwa live on TBC and ITV now, full list itakuwa uploaded soon wadau
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 May 4, 2012 #1,012 mwanri anaendelea , makongoro anaendelea, olenangolo anaendelea mifugo, mahadh malimu anaendelea, omi mwalimu anaendelea, nyarandu mali asili na utalii, simna chaweni nishati na madini atashughulikia nishati, naibu waziri wa fedha kachaguliwa mchana huu, makamba atakuwa naibu waziri wa sayansi na technoligy, angera kailuki katiba na sheria, fedha ameweka wakina mama watupu.
mwanri anaendelea , makongoro anaendelea, olenangolo anaendelea mifugo, mahadh malimu anaendelea, omi mwalimu anaendelea, nyarandu mali asili na utalii, simna chaweni nishati na madini atashughulikia nishati, naibu waziri wa fedha kachaguliwa mchana huu, makamba atakuwa naibu waziri wa sayansi na technoligy, angera kailuki katiba na sheria, fedha ameweka wakina mama watupu.
Mdau JF-Expert Member Mar 29, 2008 1,789 470 May 4, 2012 #1,013 JF noma, Simbachawene ilivuja tangu jana...
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 May 4, 2012 #1,014 Nyarandu naibu maliasili na utalii!
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 May 4, 2012 #1,015 Jk kamaliza kutangaza, anaondoka zake.