Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Kama unafuatilia yanayojilia mleta mada amefikisha ujumbe ulio wazi kabisa, vinginevyo kama hufuatilii mambo yanavyokwenda nchini na matamko ya huyu Tendwa basi sitashangaa kwa bandiko lako.

Wakati vyombo vya habari TVs vimekariri habari hiyo hiyo halafu we bado unadai nukuru.......

Ni kweli hata mimi ninamuunga mkono mleta mada tena ametoa uchambuzi ulioenda shule na ameunganisha matukio yote muhimu kwenye saga la msajili wa vyama.Huyu Jamaa Kiranga anayepinga anaonekana ni Kilaza sana ama ni mtu wa Karibu wa John Tendwa.
 
Mkuu Pawaga

Watu wengine wako kazini wasikuumize kichwa na ndiyo maana sijahangaika kumjibu.

Mie nipo kazini siku zote, not what you are insinuating though, kwamba mimi ni agent wa CCM.

Mtu yeyote anayenifuatilia ni rahisi sana kuona hili katika posts zangu ninapowalima CCM kisawasawa.

That does not mean CHADEMA wakija na some lazyazz arguments, au lowbro's lowblow, tuwape slack.

Equal opportunity offender over here. Ni discipline tu, CHADEMA, CCM, whatever.

Propaganda ni sanaa kama alivyosema Orwell, if you want to use it, perfect it. Sio unakuja na some half baked shyt ukifikiri kila mtu ni muimbaji chorus kama Lady Jaydee hapa.
 
Umeona mkuu na wewe
Yaaani premises na conclusion mbalimbali....................mtu kakurupuka tu na mihemko yake basi anapost!!!!!!!!!!!!!!!

Tatizo lenu hapa mnafanya JF kuwa gazeti au chombo cha habari.
Hapa jamvini ni muendelezo wa mijadala, huwezi kutuaminisha kuwa waga unasahau kila baada thread kuondolewa,
Kama unataka kukumbushwa juu ya threads za zamani omba kwa mods, ila usiwachanganye wachangiaji wanaokumbuka mada inayazungumziwa.
 
Mie nipo kazini siku zote, not what you are insinuating though, kwamba mimi ni agent wa CCM.

Mtu yeyote anayenifuatilia ni rahisi sana kuona hili katika posts zangu ninapowalima CCM kisawasawa.

That does not mean CHADEMA wakija na some lazyazz arguments, au lowbro's lowblow, tuwape slack.

Equal opportunity offender over here. Ni discipline tu, CHADEMA, CCM, whatever.

Propaganda ni sanaa kama alivyosema Orwell, if you want to use it, perfect it. Sio unakuja na some half baked shyt ukifikiri kila mtu ni muimbaji chorus kama Lady Jaydee hapa.

Hakika nimekutoa maanani.Tangu jana unabishana na members wote humu hata huoni aibu ndugu yangu.Wewe unadhani JF ni sawa na barua au unataka members walete kile unachotaka wewe tu.Kwa sifa hii hufai kabisa kuwa hapa.
 
Tatizo lenu hapa mnafanya JF kuwa gazeti au chombo cha habari.
Hapa jamvini ni muendelezo wa mijadala, huwezi kutuaminisha kuwa waga unasahau kila baada thread kuondolewa,
Kama unataka kukumbushwa juu ya threads za zamani omba kwa mods, ila usiwachanganye wachangiaji wanaokumbuka mada inayazungumziwa.

Mkuu Landson
Umeiweka vizuri sana hii.Kuna watu wanadhani wao wana haki ya kuleta threads na wengine hawana haki.

Mtu anatoka povu kubishana lakini haleti ushahidi wa kuonyesha kilichosemwa ni uongo.Mtu huyo huyo anajiita GT.Mara nyingi huwa ninawapuuza watu wa aina hii na wala sijibu comments zao kwa sababu lengo lao ni kubishana kama watu wale Rais Mkapa aliposema ni wavivu wa kufikiri.
 
Kati yangu mie ninayetahini kuondoa uhaini na muandishi anayeleta habari nusunusu nani mvivu?

Tutajuaje kwamba kauli ya Tendwa haikuwa na qualification ambayo haijatajwa hapo kwenye habari?

Huu mwaka 2012, uchaguzi ni 2015, unataka tuamini kwamba Tendwa kapiga marufuku mikutano yote ya siasa mpaka uchaguzi ujao? No qualification, no explanation?

Sijui kwanini unawaamini viongozi wa Tanzania hadi uhalalishe matamshi yao kwa kutumia quotes zao. Wakati hao hao ni mabingwa wa kuchakachua hizo quote zenyewe na kutumia msemo maarufu 'Sikumaanisha hivyo, mmenielewa vibaya"

Bongo tambarare bwana...unasema mwenyewe afu unageuza habari. Hivyo ndivyo walivyosema, nasi baadhi yetu tuliwasikia.
 
Hiyo Red nilipobold ndo uandishi wa content based...umeweka na tukio lilivyokuwa...... halafu unaweka na yaliyosemwa leo ili msomaji apate mtiririko wa tukio zima.......na awe na msimamo wake kabla ya wewe kusema kaabishwa ..unajua kuandika ni fani mkuu????

Itikadi yangu ni utaifa kwanza mkuu na ndio maana hata hapa sitaki ushabiki......kama mtu ana facts aweke then wasomaji watajua tu kama kaaibishwa au kasifiwa.....mbona wewe umesema kuwa alipiga simu na aliandika barua pia......au ni bahati mbaya wewe kuweka haya matukio???? Umeyaweka ili kuipa nguvu hoja yako

Kama muelewa haya ..........kama utaendelea kuamini kuwa namtetea yote juu yako


sasa na wewe kama hutaki kuamini si uachane na hii habari na uende ukatafute habari zenye nukuu, acha waliosikia wachangie unaharibu mtiririko wa majadiliano na lazima wewe ni kada ambao mna masikio lakini hamsikii na mna macho lakini hamuoni.
 
Mlishaambiwa mtu anaitwa Kiranga sasa mnategemea aweje? kiujumla ana Kiranga cha kutokuelewa wengi walichokieleza ambacho ni cha msingi sana.
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi. Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi. Bila hilo habari inakosa uhakika na context.
Huwa napata shida ninapokutana na mawazo ambayo ni ya watu wanaojiona wanjua kumbe ni mbumbumbu. Hivi wewe comment kama hii unaona umeandika kitu cha maana??. Quates zinatusaidia nini?. Je unataka kutwambia kwamba huyu bwana anachokisema ni uongo mpaka aweke quates. Kuwa muelewa usiuweke usiku watu wana mambo mengi ya kufanya
 
Na jambo hili nililiandika humo JF katika moja ya makala yangu kuwa serikali inataka kutunga sheria ya kuthibiti vyama hususan chadema.
 
Huwa napata shida ninapokutana na mawazo ambayo ni ya watu wanaojiona wanjua kumbe ni mbumbumbu. Hivi wewe comment kama hii unaona umeandika kitu cha maana??. Quates zinatusaidia nini?. Je unataka kutwambia kwamba huyu bwana anachokisema ni uongo mpaka aweke quates. Kuwa muelewa usiuweke usiku watu wana mambo mengi ya kufanya

Mkuu wangu Baguma Bunda
Watu wengine bila kuleta ubishi wa mambo yaliyo wazi na kujifanya wao ni wajuaji kumbe ni watupu siku haiendi.
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Tatizo lako ni kwamba unapinga vitu kwa unazi bila kujenga hoja au na wewe ndo wale mnaosoma tu magazeti ya Uhuru na Mzalendo???!!!!! Alichosema mtoa mada ndo ukweli wenyewe. kwa wana JF makini sidhani kama hawatakuwa aware na alichosema John tendwa kuhusu mikutano ya kisiasa wakati ambao sio wa uchaguzi. kama hujui si uulize????? na sio kubisha usichojua!!!!!
 
Wewe kiranga umefanya kwotesheni gani kwenye lawama zako au nalo ni swali la kibongobongo tu?
Wana jf jueni kuwa twendwa hakufanya vile bila ya kutendwa na si ajabu akakanusha kuwa hakutoa agizo hilo au amekaririwa vibaya. Cdm hawezi kuitenda kitu naye atabaki wa kutendwa tu na ccm.
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Tatizo lako ni kwamba unapinga vitu kwa unazi bila kujenga hoja au na wewe ndo wale mnaosoma tu magazeti ya Uhuru na Mzalendo???!!!!! Alichosema mtoa mada ndo ukweli wenyewe. kwa wana JF makini sidhani kama hawatakuwa aware na alichosema John tendwa kuhusu mikutano ya kisiasa wakati ambao sio wa uchaguzi. kama hujui si uulize????? na sio kubisha usichojua!!!!!

Mkuu kiwososa

Nimefurahi sana kukusoma jinsi ulivyomjibu huyu jamaa asiye na kumbukumbuku.

Inavyoelekea yeye anasoma tu magazeti ya Uhuru na Mzalendo.Ni kweli magazeti haya hayawezi kuwa na habari niliyoandika.
 
Hakika nimekutoa maanani.Tangu jana unabishana na members wote humu hata huoni aibu ndugu yangu.Wewe unadhani JF ni sawa na barua au unataka members walete kile unachotaka wewe tu.Kwa sifa hii hufai kabisa kuwa hapa.

Mie nataka undani wa mambo, kuona kama kweli Kikwete kamuumbua Tendwa au ni longolongo za propaganda ya kisiasa. Na huwezi kuhakiki bila ya kuwa hata na direct quote moja.

Wewe kunitoa maanani si hoja, kwa maana wewe si standard ya kusema nikutazame wewe. Lakini ukweli utabaki palepale.

Maneno hayachambuliwi kwa ujumlajumla kati ya watu wanaosisitiza ustadi na umakini. Maneno yanatakiwa kuchambuliwa kwa kituo.
 
Back
Top Bottom