OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
sasa na wewe kama hutaki kuamini si uachane na hii habari na uende ukatafute habari zenye nukuu, acha waliosikia wachangie unaharibu mtiririko wa majadiliano na lazima wewe ni kada ambao mna masikio lakini hamsikii na mna macho lakini hamuoni.
Kuamini sio suala la kutaka ni suala la facts and evidence mkuu
Philosophy ilianza na positivism...ikaishia kwenye convensionalism na ndio suala la objective truth linavyotaka mambo yawe sasa kama wewe ni kundi la kuchukulia mambo kama yalivyoletwa na mtoa mada huo ni uchaguzi as well jua hapa kuna vijana wa sekondari na wa chuo pia ambao wanajifunza mengi kupitia sisi tuliopevuka sasa kama baadhi yenu mnatetea uandishi wa aina hii it is sad......si lazima wote tukubaliane for the sake of political influence and inclinations a as you think and believe..........obsession is a bad disease you know!!!!!!
Ukweli utabaki kuwa ukweli....na kuna jinsi ya kuandika to an extent that ukweli ukabaki unajitegemea bila hata ya muandishi kuwepo na kujazia chumvi hapa na pale ......truth should be objective and independent....uzi husika unakosa sifa hizi kuu and thus it is exposed to criticisms