Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Mkuu Olesaidimu

Wakati mwingine nyie wana CCM muwe munakubali ukweli.Mlimuunga mkono sana Tendwa hapa jamvini alipotoa ile kauli ya kihuni kuzuia CDM.Leo JK kaeleza ukweli kuhusu kazi ya chama cha siasa kinapaswa kufanya nini.

Sasa unalalamika nini mkuu wangu?


Kaka fmpiganaji mimi sina chama ninachokishabikia.......wala ninachokifuata....mimi Taifa kwanza sera za chama baadae

Uandishi wa mtu kukusanya maneno na kuweka hitimisho si wa kuushabikia sana kwa kipindi hiki yeye angeuliza swali kwa mfano ili watu watoe maoni au angeandika tu halafu sisi tungejua kama kamuaibis ha au la.......

I respect neutral reporting.......just that
 
Mkuu Kiranga Acha kujidhalilisha mkuu wangu.Wewe ni mkongwe hapa JF.Usijifanye kwamba hujui alichosema Tendwa wakati ule.Habari za Tendwa zilijadiliwa sana hapa JF kuhusu lile tamko lake la kihuni dhidi ya CDM.

Hivi ina maana hujui ni kwanini Kamati Kuu ya CDM iliazimia kuvunja ushirikiano na Tendwa?
 
Last edited by a moderator:
Kaka fmpiganaji mimi sina chama ninachokishabikia.......wala ninachokifuata....mimi Taifa kwanza sera za chama baadae

Uandishi wa mtu kukusanya maneno na kuweka hitimisho si wa kuushabikia sana kwa kipindi hiki yeye angeuliza swali kwa mfano ili watu watoe maoni au angeandika tu halafu sisi tungejua kama kamuaibis ha au la.......

I respect neutral reporting.......just that

Mkuu Olesaidimu

Hakika utaonekana kituko ukikakamaa kumtetea Tendwa.Kauli ya Kikwete ya leo imedhihirishwa Tendwa hafai kuendelea kuwa msajili wa vyama vya siasa.

Tatizo la Tendwa ni kutoa matamko ya kijingajinga na ya hovyohovyo ambayo baadaye yanamdhalilisha na kumvunjia heshima.

Kama hujui naomba nikufahamishe baada ya Tendwa kuandika barua kwa makamanda wa polisi kuzuia M4C aliona haitoshi akaanza kupigapiga simu kwa hao makamanda kuwaambia waizuie CDM.Huyu Tendwa yuko pale ofisini kama kada mwaminifu wa CCM.

Mkuu wewe ni.lazima umtetee Tendwa kwa sababu mna Itikadi moja.
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Bila hilo habari inakosa uhakika na context.
Ukitaka nukuu neno by neno, go get TV. Hapa ni uwazi na ukweli. JK na huyo Tendwa walisema hayo maneno
 
Mkuu Olesaidimu

Hakika utaonekana kituko ukikakamaa kumtetea Tendwa.Kauli ya Kikwete ya leo imedhihirishwa Tendwa hafai kuendelea kuwa msajili wa vyama vya siasa.

Tatizo la Tendwa ni kutoa matamko ya kijingajinga na ya hovyohovyo ambayo baadaye yanamdhalilisha na kumvunjia heshima.

Kama hujui naomba nikufahamishe baada ya Tendwa kuandika barua kwa makamanda wa polisi kuzuia M4C aliona haitoshi akaanza kupigapiga simu kwa hao makamanda kuwaambia waizuie CDM.Huyu Tendwa yuko pale ofisini kama kada mwaminifu wa CCM.

Mkuu wewe ni.lazima umtetee Tendwa kwa sababu mna Itikadi moja.

Hiyo Red nilipobold ndo uandishi wa content based...umeweka na tukio lilivyokuwa...... halafu unaweka na yaliyosemwa leo ili msomaji apate mtiririko wa tukio zima.......na awe na msimamo wake kabla ya wewe kusema kaabishwa ..unajua kuandika ni fani mkuu????

Itikadi yangu ni utaifa kwanza mkuu na ndio maana hata hapa sitaki ushabiki......kama mtu ana facts aweke then wasomaji watajua tu kama kaaibishwa au kasifiwa.....mbona wewe umesema kuwa alipiga simu na aliandika barua pia......au ni bahati mbaya wewe kuweka haya matukio???? Umeyaweka ili kuipa nguvu hoja yako

Kama muelewa haya ..........kama utaendelea kuamini kuwa namtetea yote juu yako
 
Mkuu Kiranga

Acha kujidhalilisha mkuu wangu.Wewe ni mkongwe hapa JF.Usijifanye kwamba hujui alichosema Tendwa wakati ule.Habari za Tendwa zilijadiliwa sana hapa JF kuhusu lile tamko lake la kihuni dhidi ya CDM.

Hivi ina maana hujui ni kwanini Kamati Kuu ya CDM iliazimia kuvunja ushirikiano na Tendwa?

The devil is in the details, kauli ya Tendwa iliendaje vile? Naitafuta online kote siioni. Niko mbali na kujidhalilisha, natumia mizani inayopima mpaka Planckscale huko.

Hizi habari za jumlajumla za "fulani kasema hivi" bila direct quotes ndo zilileta mauaji ya kimbari huko Rwanda.

Hapa ni lazima tujue maneno hasa aliyosema Tendwa ni yapi? Na aliyosema Kikwete ni yapi? Je kuna kudhalilishwa kweli?

Kama unajua kusoma, na unanifuatilia, utaona kitu ninachotafuta ni verification tu. Sijasimamia popote.

You can't go wrong with being thorough.

Sijapata hizo quotes mbili bado, you haven't made any case yet.

Kama unataka groupthink na party politics that's not my forte.I just obliterate lazy arguments and half spinned propaganda.

No research, no right to whine.
 
Hii tabia ya kuandika habari kwa maneno jumlajumla bila direct quote tunayo sana. Natafuta direct quote/ video ya Tendwa, to no avail.

Mkuu Kiranga,
Mie binafsi nilidhani rais Kikwete amemuumbua John Tendwa walikuwa pamoja Tendwa akasema jambo JK akamuumbua. Kumbe mwandishi wa hii habari kaunga unga habari.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kiranga,
Mie binafsi nilidhani rais Kikwete amemuumbua John Tendwa walikuwa pamoja Tendwa akasema jambo JK akamuumbua. Kumbe mwandishi wa hii habari kaunga unga habari.

Mkuu Ritz una maoni gani juu ya Tuhuma za Nape dhidi Karume juu ya kuhusika kwake na uamsho
 
Last edited by a moderator:
[B said:
Naye Mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM Dr Benson Banna alimuunga mkono Tendwa kwa kusema Operesheni ya CDM ya M4C haikubaliki kwani ni kuwasumbua wananchi na kuwanyima muda wa kufanya kazi na kuwataka CDM wasubiri kipindi cha uchaguzi.
[/B]
Kauli ya Rais Kikwete ya leo imeonekana waziwazi ni kupingana na kauli ya msajili wa vyama vya siasa John Tendwa na Msajili huyo ameonekana wazi hafai kuendelea kushikilia wadhifa huo.

Source: ITV/Chanel Ten.
Mimi naomba nimjadili huyu msomi wetu Dr. Benson Banna. Kwa mtu ambaye amekuwa akifuatilia uchambuzi wa msomi wetu huyu atagundua kuwa uchambuzi wake umekuwa ukijikita katika katika mwelekeo wa upepo wa utawala uliopo. Nasema hivyo kutokana na ukweli kuwa maelezo yake mengi yamejikita katika kutetea chama tawala hata pale ambapo utaona kuwa hakukuwa na sababu za msingi (Kwa mtazamo mwingine anatumia nafasi anayoipata kwa kujipigia debe) ili aonekane kuwa yanayofanywa na serikali ni sahihi. Kwa maelezo hayo ndiyo maana haikuwa ajabu kwake yeye kuiunga mkono kauli ya tendwa. Huyu ndiye Banna msomi wa chuo Kikuu.
 
The devil is in the details, kauli ya Tendwa iliendaje vile? Naitafuta online kote siioni. Niko mbali na kujidhalilisha, natumia mizani inayopima mpaka Planckscale huko.

Hizi habari za jumlajumla za "fulani kasema hivi" bila direct quotes ndo zilileta mauaji ya kimbari huko Rwanda.

Hapa ni lazima tujue maneno hasa aliyosema Tendwa ni yapi? Na aliyosema Kikwete ni yapi? Je kuna kudhalilishwa kweli?

Kama unajua kusoma, na unanifuatilia, utaona kitu ninachotafuta ni verification tu. Sijasimamia popote.

You can't go wrong with being thorough.

Sijapata hizo quotes mbili bado, you haven't made any case yet.

Kama unataka groupthink na party politics that's not my forte.I just obliterate lazy arguments and half spinned propaganda.

No research, no right to whine.

Mkuu pumzika sasa umehangaika mno na hakuna anayekuunga mkono,mpaka umemwita Ritz aje akusaidie.
Pole sana.
 
Hivi Tendwa ukiachia ngazi utakufa? Kama jibu ni hapana unasubiri nini? Huko kukosewa heshima kwa hali ya juu kama hivyo haiwezi kuvumilika na binadamu wa kawaida.
 
Sawa Mkuu, tunasubiria hiyo M4D -Movement For Desperation!
 
Wakuu M4C haijawahi kuzuiliwa na mtu yeyote mbali ya vitisho ambavyo Tendwa kwa kujikomba na kutumwa na viongozi wa CCM na serikali ya Kikwete.

M4C is there to stay brothers. Mpaka kitaeleweka.
 
Mkuu Kiranga,
Mie binafsi nilidhani rais Kikwete amemuumbua John Tendwa walikuwa pamoja Tendwa akasema jambo JK akamuumbua. Kumbe mwandishi wa hii habari kaunga unga habari.

Connecting dots...hujui hiyo...umezoea kusoma zile stori so and so kasema, alisema, akaongeza, akasisitiza.
 
Last edited by a moderator:
*Halafu huyu Kikwete hana hata shukrani kabisa, kwani CCM nao si walikuwa na mikutano sambasamba na ile ya Chadema? CHADEMA walipozindua operation zao za M4C na CCM nao walizindua Operation vua gwanda!! na wakafanya mikutano mikubwa Dar, Tabora, Rukwa, Kigoma, Mwanza na kupita vijijini tena ikiongozwa na Nape, Mwigulu, Mwanry, Sitta, Magufuri, Mwakyembe, Tibaijuka nk Vipi tena? Haikuwa na mafanikio? Ilikuwa imedoda?
Kikwete amedhihirisha "vua gwanda" imefeli. Hivyo sasa ameizika rasmi na kuzindua nyingine iitwaye 'wanec wote mitaani" Lakini sasa hawa wanec maskini sijui watasema nini huko mitaani. Tatizo bado liko pale pale tutawauliza ile orodha ya walioficha fedha Uswiswi iko wapi? Je wanec watalijibu hilo? Wakijaribu tutawauliza lingine baada ya taarifa ya kiapo ya Ulimboka serkali sasa inasemaje kuhusiana na sakata hilo? wakijaribu kujibu hilo tutauliza tena juu ya mikataba sasa ya gesi itakwendaje kwa usahihi ikiwa ile ya dhahabu haijarekebishwa? Wanec karibuni mitaani!
 
Mkuu Ritz una maoni gani juu ya Tuhuma za Nape dhidi Karume juu ya kuhusika kwake na uamsho

Mkuu Albedo,
Sijui Nape alitoa hizo tuhuma lini...ninachafahamu mie wajumbe wa CCM kutoka Mkoa wa Mjini Magharibi ndio waliokuwa wakimzomea Karume alipokuwa hakihutubia...nadhani hizo ni siasa zao huko Zanzibar kwetu sio issue.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pumzika sasa umehangaika mno na hakuna anayekuunga mkono,mpaka umemwita Ritz aje akusaidie.
Pole sana.

Tatizo unaangalia macho ya watu wakati mie najikita katika kutahini. Mie hata JF nzima ikinipinga lakini nikiwa na convictions zangu, sina shida.

Wewe unafuata wapi kuna watu wengi, hujitambui mwenyewe, hujui nani ana elevate mjadala.

Sijaona direct quotes bado, hujajenga hoja.
 
Connecting dots...hujui hiyo...umezoea kusoma zile stori so and so kasema, alisema, akaongeza, akasisitiza.

Tatizo kubwa la Pro-Chadema JF ni kukubaliana kila jambo hata kama ni uzushi.

Ebu niwekee hapa quote ya John Tendwa na quote ya rais Kikwete.

Tuone ni wapi rais Kikwete alipomuumbua John Tendwa.
 
Tendwa ni mzigo kwa taifa hili. Bora angerudi kijijini akalime kujaribu kuizuia Chadema ambayo haizuiliki na kujaribu kuikumbatia ccm ambayo ishakuwa mbuyu
 
Back
Top Bottom