Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Tendwa ni mzigo kwa taifa hili. Bora angerudi kijijini akalime kujaribu kuizuia Chadema ambayo haizuiliki na kujaribu kuikumbatia ccm ambayo ishakuwa mbuyu

Hili linaweza kuwa kweli kabisa.

Lakini hatujaona direct quotes ili kuweza kukubaliana na kichwa cha thread hii bado.

Inakuwa kama zile habari za "Rais ampiga mkewe". Ukija kusoma paragraph za kati huko unakuta kumbe rais wa chama cha ndondi kamkosa kofi hawara !

Kama hakuna quote na habari ni ya chumvi, je mnahitaji uzushi huu? Kama kweli CCM imeoza hivyo na wananchi wanaikubali CHADEMA kwa nini hizi low brow's low blows?
 
Hii inakuwa ile stori kocha mmoja anahojiwa anasema kafundisha vilabu vingi, kafundisha Real Madrid, Manchester Utd, Arsenal, na Liverpool zote za Tandale.
 
JK akimkebehi Tendwa atakosana na WASHILI
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Bila hilo habari inakosa uhakika na context.

Kama unafuatilia yanayojilia mleta mada amefikisha ujumbe ulio wazi kabisa, vinginevyo kama hufuatilii mambo yanavyokwenda nchini na matamko ya huyu Tendwa basi sitashangaa kwa bandiko lako.

Wakati vyombo vya habari TVs vimekariri habari hiyo hiyo halafu we bado unadai nukuru.
 
Ukitaka nukuu neno by neno, go get TV. Hapa ni uwazi na ukweli. JK na huyo Tendwa walisema hayo maneno

Kati yangu mie ninayetaka exactitude ya kilichosemwa na wewe unayekwenda kijumlajumla nani anataka ukweli na uwazi?

JK na huyo Tendwa walisema "hayo" maneno? Maneno gani? Unapitisha maneno yasiyobainishwa?
 
Kama unafuatilia yanayojilia mleta mada amefikisha ujumbe ulio wazi kabisa, vinginevyo kama hufuatilii mambo yanavyokwenda nchini na matamko ya huyu Tendwa basi sitashangaa kwa bandiko lako.

Wakati vyombo vya habari TVs vimekariri habari hiyo hiyo halafu we bado unadai nukuru.

Mie sijafuatilia. Wengine tunafanya kazi saa nyingine na hii michezo ya kuigiza inayojivika ushungi wenye jina la siasa haina jipya kusema kwamba nikikosa mipasho ya wiki moja kwa sababu nina project yangu kali nitakosa mengi, ni kama soap opera inayorudiwa kila siku.

Wewe unayefuatilia nukuu iko wapi? Na kama hujaweza kuipata na kuiweka hapa kusawazisha mambo watu twende neno kwa neno, wewe unayefuatilia na mie nisiyefuatilia tuna tofauti gani katika context hii?

Tendwa could be the most vile imbecile ever to hold that office, lakini hujatuonyesha hilo kwa exactitude ya kupata direct quote.

Na mie sio kwamba namtetea kama nilivyosema mwanzo, nimetafuta online hata direct quote tu sijaona, naona kila mtu anaandika kwa interpretation tu. Which is prone to partisan propaganda and political pointscoring pitfalls.

Ndiyo maana mie nisiyetaka partisan politics nataka direct quotes ni judge mwenyewe, nisije kulishwa propaganga za lowbrow surrogates ambao hata hawajui ku spin mambo, kwamba ni lazima uweke a degree of believability.

Sio Kikwete anajikojolea kama kawaida yake, wewe unakuja kutuambia "Kikwete kamkojolea Tendwa"
 
Mie sijafuatilia. Wengine tunafanya kazi saa nyingine na hii michezo ya kuigiza inayojivika ushungi wenye jina la siasa haina jipya kusema kwamba nikikosa mipasho ya wiki moja kwa sababu nina project yangu kali nitakosa mengi, ni kama soap opera inayorudiwa kila siku.

Wewe unayefuatilia nukuu iko wapi? Na kama hujaweza kuipata na kuiweka hapa kusawazisha mambo watu twende neno kwa neno, wewe unayefuatilia na mie nisiyefuatilia tuna tofauti gani katika context hii?

Tendwa could be the most vile imbecile ever to hold that office, lakini hujatuonyesha hilo kwa exactitude ya kupata direct quote.

Na mie sio kwamba namtetea kama nilivyosema mwanzo, nimetafuta online hata direct quote tu sijaona, naona kila mtu anaandika kwa interpretation tu. Which is prone to partisan propaganda and political pointscoring pitfalls.

Sakata la Mauaji ya Mwangozi yalizua mengi, Tendwa alionekana kutishia kuifuta Chadema na kuishinikiza kusitisha maandamano na mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kwa lengo la kuishinikiza Chadema. Ikafikia hatua ya Chadema kusitisha mahusiano na Tendwa na tendwa kutishia kukifuta chadema na kusitisha ruzuku.

Kinachoendelea hatujui, lakini leo Kikwete anakuja na hii ya CCM kuanza mikutano ya hadhara kama Chadema wafanyavyo, ina maana Tendwa anapingana sasa na Kauli ya aliyemweka madarakani.
 
Sakata la Mauaji ya Mwangozi yalizua mengi, Tendwa alionekana kutishia kuifuta Chadema na kuishinikiza kusitisha maandamano na mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kwa lengo la kuishinikiza Chadema. Ikafikia hatua ya Chadema kusitisha mahusiano na Tendwa na tendwa kutishia kukifuta chadema na kusitisha ruzuku.

Kinachoendelea hatujui, lakini leo Kikwete anakuja na hii ya CCM kuanza mikutano ya hadhara kama Chadema wafanyavyo, ina maana Tendwa anapingana sasa na Kauli ya aliyemweka madarakani.

Hayo yote nayajua. Hujatoa direct quotes zinayoonyesha Kikwete kamuumbua Tendwa.
 
Hayo yote nayajua. Hujatoa direct quotes zinayoonyesha Kikwete kamuumbua Tendwa.

Kama wayajua alichokiandika mleta mada utata uko wapi wakati kimsingi amejenga hoja yake kutokana na hayo? Hapa si chuoni kwamba tunahitaji direct quotes za utetezi wa thesis kwa ajili ya professor aweze kutoa credits kwenye thesis bali wengi wetu tunajua kinachoendelea na ni wewe tu labda unayeonekana kutaka uthibitisho wa kitu ambacho wengi wetu tunakijau.
 
Hii tabia ya kuandika habari kwa maneno jumlajumla bila direct quote tunayo sana. Natafuta direct quote/ video ya Tendwa, to no avail.

Braza unahitaji kupata msaada wa kufafanuliwa zaidi
 
Kati yangu mie ninayetaka exactitude ya kilichosemwa na wewe unayekwenda kijumlajumla nani anataka ukweli na uwazi?

JK na huyo Tendwa walisema "hayo" maneno? Maneno gani? Unapitisha maneno yasiyobainishwa?
Dude labda wewe ni Police au Hakimu! there is none I can say to you anymore, may be next topic. Love & power
 
Kama wayajua alichokiandika mleta mada utata uko wapi wakati kimsingi amejenga hoja yake kutokana na hayo? Hapa si chuoni kwamba tunahitaji direct quotes za utetezi wa thesis kwa ajili ya professor aweze kutoa credits kwenye thesis bali wengi wetu tunajua kinachoendelea na ni wewe tu labda unayeonekana kutaka uthibitisho wa kitu ambacho wengi wetu tunakijau.

I merely want to separate the hyperbolic hoopla from some semblance of sanity.

Kwamba Tendwa kakataza/ kuonya CHADEMA kuandamana/ kufanya mikutano, kwa sababu zake zozote anazoweza kuzitaja, hakumaanishi kwamba Kikwete kutaka CCM ifanye mikutano ni kumuumbua Tendwa. Kwa sababu inawezekana Tendwa anaweza ku cite sababu ambazo hazimhusu Kikwete na CCM.

Ndiyo maana kwa mtu anayetaka ukamilifu wa mambo, ni muhimu kujua kauli hasa zilizotolewa ili tubaini kwamba hizi habari za kusema "Kikwete amuumbua John Tendwa" ni propaganda za ngazi ya chini tu au zina merit yoyote?

The devil is in the details.

For lack of attention to detail, a kingdom was lost.
 
I merely want to separate the hyperbolic hoopla from some semblance of sanity.

Kwamba Tendwa kakataza/ kuonya CHADEMA kuandamana/ kufanya mikutano, kwa sababu zake zozote anazoweza kuzitaja, hakumaanishi kwamba Kikwete kutaka CCM ifanye mikutano ni kumuumbua Tendwa. Kwa sababu inawezekana Tendwa anaweza ku cite sababu ambazo hazimhusu Kikwete na CCM.

Ndiyo maana kwa mtu anayetaka ukamilifu wa mambo, ni muhimu kujua kauli hasa zilizotolewa ili tubaini kwamba hizi habari za kusema "Kikwete amuumbua John Tendwa" ni propaganda za ngazi ya chini tu au zina merit yoyote?

The devil is in the details.

For lack of attention to detail, a kingdom was lost.


  1. Tendwa alitoa kauli ya kuvitaka vyama vya siasa kusitisha maandamano na mikutano ya hadhara.
  2. Kikwete ametangaza chama cha siasa CCM kianze utaratibu wa kufanya mikutano ya kisiasa nchini na kujibu hoja za upinzani kwenye mikutano.

Ukinzano:
Kikwete ametoa tamko linalopingana na kauli ya msajili wa vyama vya siasa kwamba maandamano na mikutano ya siasa visitishwe la sivyo anaweza kutumia lungu lake kufuta chama kwenye usajili kinachoweza kukiuka utaratibu huo.


 
  1. Tendwa alitoa kauli ya kuvitaka vyama vya siasa kusitisha maandamano na mikutano ya hadhara.
  2. Kikwete ametangaza chama cha siasa CCM kianze utaratibu wa kufanya mikutano ya kisiasa nchini na kujibu hoja za upinzani kwenye mikutano.

Ukinzano:
Kikwete ametoa tamko linalopingana na kauli ya msajili wa vyama vya siasa kwamba maandamano na mikutano ya siasa visitishwe la sivyo anaweza kutumia lungu lake kufuta chama kwenye usajili kinachoweza kukiuka utaratibu huo.



Kauli ya Tendwa iko wapi? Ina nuances gani? Qualification? Context? Justification? Ilikuwa absolute or conditional? Overarching or particular? Rhetorical or jurisprudence backed? In good faith or maniacal? Patriotic or partisan? Constitutional or unconstitutional? et cetera, et cetera.

Hatuwezi kuchuja yote hayo mpaka ulete kauli kama ilivyotolewa.

Usipoweza kuleta kilichosemwa unaleta hearsay, ambayo inaweza kuwa distorted na prism ya party politics.
 
Kauli ya Tendwa iko wapi? Ina nuances gani? Qualification? Context? Justification? Ilikuwa absolute or conditional? Overarching or particular? Rhetorical or jurisprudence backed? In good faith or maniacal? Patriotic or partisan? Constitutional or unconstitutional? et cetera, et cetera.

Hatuwezi kuchuja yote hayo mpaka ulete kauli kama ilivyotolewa.

Usipoweza kuleta kilichosemwa unaleta hearsay, ambayo inaweza kuwa distorted na prism ya party politics.

Demokrasia iliwekwa kwa ajili hiyo, kwamba mmoja asipokubaliana na hoja, si pingamizi kwa wengi wambao wanaunga mkono hoja. Ni wewe peke yako unayekazania quote, subiri wenye hizo wakuletee, sisi wengine tulio wengi ambao tunakubaliana na hoja tunaendelea na majadiliano, we subiri quote ndipo urudi kwenye meza ya majadiliano.
 
Demokrasia iliwekwa kwa ajili hiyo, kwamba mmoja asipokubaliana na hoja, si pingamizi kwa wengi wambao wanaunga mkono hoja. Ni wewe peke yako unayekazania quote, subiri wenye hizo wakuletee, sisi wengine tulio wengi ambao tunakubaliana na hoja tunaendelea na majadiliano, we subiri quote ndipo urudi kwenye meza ya majadiliano.

Ukweli haujali demokrasia, hata dunia nzima ikisema moja ni mbili moja haigeuki mbili.

Nimeandika hapo juu kwamba sifagilii habari za kuangalia macho ya watu.

Serious claims require serious evidence, uneshindwa kutoa hata direct quote tu.

Unakubaliana na hoja katika thread ya propaganda? Do you even know the difference?
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Bila hilo habari inakosa uhakika na context.

Mkuu Kiranga
Umesahau habari yenyewe imeandikwa na Molemo wa JF?


Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hii inakuwa ile stori kocha mmoja anahojiwa anasema kafundisha vilabu vingi, kafundisha Real Madrid, Manchester Utd, Arsenal, na Liverpool zote za Tandale.

Mkuu Ritz
Umeaniacha hoi hii kali ya mwaka! dooh hii nimeikubali!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom