Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Uzushi unaowekewa direct quote ni rahisi sana kuung'amua kuliko uzushi unaokuja shaghalabaghala bila direct quote.

Ndo maana fact checkers tunataka direct quotes.
Ndiyo maana nakwambia una-maelezo unayotoa ni rudimentary katika uandhishi. Habari inaweza kuwa sahihi na isiwe na direct quote. Pia hauhitaji direct quote kwenye kiwango cha juu cha analysis. Mwandishi ana-present issue katika matawi ya juu wakati your ideas ziko kwenye uandishi at basic level.
 
Wewe hata hujaielewa sentensi yangu umerukia tu. "Fundaments of the discourse". Get it right.

Kuna mengi ya msingi katika majadiliano haya. Mojawapo ni, je ni kweli Kikwete kamuumbua Tendwa?

Na bila kupata direct quotes hatutakuwa hata tumeanza kuupata ukweli huo. Kwa sababu mtu mmoja tu aliyekosa protein,vitamin na madini wakati wa ukuaji muhimu wa ubongo wake, na hivyo kudumaa katika uwezo wa kuelewa mambo, anaweza kutafsiri maneno kinyumenyume akayaleta hapa JF na kupotosha JF nzima.

Ndiyo maana tunataka maneno halisi ambayo yatatuelekeza kwenye ukweli kwa ufasaha uliozidi hizi habari za maneno ya jumlajumla.

Hili la direct quote nimeshalieleza. Ukweli wa habari hautegemei direct quote. Ukweli ni ukweli tu, uwe na quote usiwe na quote ni ukweli tu.
 
Umesema uandishi ni zaidi ya direct quote. Kwa sheria hii mtu anaweza kuweka direct quote, halafu akaenda zaidi ya direct quote kwa kuichambua direct quote. Tutajua msingi wake umetokana na hii direct quote.

Kusema "uandishi ni zaidi ya direct quote" hakumaanishi "uandishi si direct quote". Maneno yako mwenyewe yanaonyesha hoja yako ilivyokosa kina.
Nachosema ni kuwa usilazimishe direct quote kuwa ndiyo usahihi wa habari. Usahihi wa habari hautegemei direct quote.
 
Ndiyo maana nakwambia una-maelezo unayotoa ni rudimentary katika uandhishi. Habari inaweza kuwa sahihi na isiwe na direct quote. Pia hauhitaji direct quote kwenye kiwango cha juu cha analysis. Mwandishi ana-present issue katika matawi ya juu wakati your ideas ziko kwenye uandishi at basic level.

Hapa kuna direct accusation kwamba Kikwete kamuumbua Tendwa, tena imewekwa kwenye head. Nilitegemea kuona a backing direct quote for the sake of exactitude. Mpaka sasa sijaona.
 
Hapa kuna direct accusation kwamba Kikwete kamuumbua Tendwa, tena imewekwa kwenye head. Nilitegemea kuona a backing direct quote for the sake of exactitude. Mpaka sasa sijaona.

Hiki kinachoitwa accusation ni tafsri yako kulingana na uelewa wako. Kwa hiyo efforts za kutaka direct quote is subjective kwako siyo objective.
 
Hili la direct quote nimeshalieleza. Ukweli wa habari hautegemei direct quote. Ukweli ni ukweli tu, uwe na quote usiwe na quote ni ukweli tu.

Sawa, lakini uchambuzi wa habari, na ufuatiliaji wa kama uchambuzi huo upo sahihi au ni fraudulent propaganda, unasaidiwa sana na direct quote.

Kwa sababu, mtu akiweka direct quote na source hapa, ni rahisi kusema "mbona wewe unasema kamuumbua wkati quotes hazionyeshi hivyo"?

Lakini bila quotes mtu ana freehand ya kusema "itakumbukwa kwamba...". Itakumbukwa na nani? Kutoka source gani? Una nukuu gani?
 
Hiki kinachoitwa accusation ni tafsri yako kulingana na uelewa wako. Kwa hiyo efforts za kutaka direct quote is subjective kwako siyo objective.

Kikwete kawa accused kumuumbua mtu, bila ushahidi wa maneno ama yake au ya huyo Tendwa aliyeumbuliwa. Ukipinga hili utajiumbua wewe sasa.
 
Kikwete kawa accused kumuumbua mtu, bila ushahidi wa maneno ama yake au ya huyo Tendwa aliyeumbuliwa. Ukipinga hili utajiumbua wewe sasa.

Ni tafsiri yako binafsi kuwa Kikwete kawa accussed. siyo yakila mtu.
 
Nachosema ni kuwa usilazimishe direct quote kuwa ndiyo usahihi wa habari. Usahihi wa habari hautegemei direct quote.

Hapa kuna zaidi ya usahihi wa habari, kuna uhakiki wa habari.

Habari inaweza kuwa sahihi lakini isihakikike.

Mie sijasema kwamba hii habari ni sahihi au si sahihi, nimesema haihakikiki.
 
Hapa kuna zaidi ya usahihi wa habari, kuna uhakiki wa habari.

Habari inaweza kuwa sahihi lakini isihakikike.

Mie sijasema kwamba hii habari ni sahihi au si sahihi, nimesema haihakikiki.
Soma post number 4. Umesisitiza direct quote kama njia ya kupima usahihi na ukweli wa habari. Neno sahihi umelitumia mara mbili na neno ukweli mara moja. Mimi nakwambia kuwa usahihi au ukweli wa habari hautegemea direct quote.
 
Ni tafsiri yako binafsi kwamba hiyo ni tafsiri yangu binafsi. Siyo ya kila mtu.

Ni yako binafsi kwa kuwa hapo mwanzo umesema unasimamia conviction yako hata kama wengine wana-mtazamo tofauti. Na mimi nimekwambia watu wengine nao wana-conviction zao, siyo lazima wafuate za kwako.
 
Kwa hiyo ukiona direct quote tu wewe unaamini, siyo?

You are missing the point! Direct quote hainifanyi niamini tu. Hiyo hiyo direct quote itakuwa dissected ili kuweza kujua undani wa jambo. Ila huwezi tu kunijia na kusema fulani kasema hivi bila hata kunipa nukuu ya maneno aliyoyasema halafu na mimi nikubali tu bila kuhoji wala kuomba nukuu ya kilichosemwa. I just don't operate like that.
 
Kati yangu mie ninayetahini kuondoa uhaini na muandishi anayeleta habari nusunusu nani mvivu?

Tutajuaje kwamba kauli ya Tendwa haikuwa na qualification ambayo haijatajwa hapo kwenye habari?

Huu mwaka 2012, uchaguzi ni 2015, unataka tuamini kwamba Tendwa kapiga marufuku mikutano yote ya siasa mpaka uchaguzi ujao? No qualification, no explanation?

tendwa alipiga marufuku na vyombo vya habari ikiwemo itv vilimnukuu,tena alienda mbali hadi kusema atakifuta kwenye daftari la vyama vya siasa.
anyway tumesikia mkakati wa kujibu hoja hata kama ziko valid naona kazi sekretariat mpya
 
Tatizo lenu hapa mnafanya JF kuwa gazeti au chombo cha habari.
Hapa jamvini ni muendelezo wa mijadala, huwezi kutuaminisha kuwa waga unasahau kila baada thread kuondolewa,
Kama unataka kukumbushwa juu ya threads za zamani omba kwa mods, ila usiwachanganye wachangiaji wanaokumbuka mada inayazungumziwa.

Sasa kama unakumbuka mada inayozungumziwa utachanganyikiwaje......au ndo chicken head??????

Kwa nini usiwafikirie na wale ambao hawakupata kusoma the past na waliojiunga baada??? Ndo maana flashback writing style ni more comprehensible kuliko kudhani kuwa kila mtu anajua na kukumbuka ya kale....ndo maana nikasema kuandika ni fani.

Ila isiwe issue saaanaaa.....kama vipi potezea tu ila ujua kuna kuandika na kujaza maneno kwenye ukurasa......the choice rests with the composer!!!!!!!!
 
Hapa kuna direct accusation kwamba Kikwete kamuumbua Tendwa, tena imewekwa kwenye head. Nilitegemea kuona a backing direct quote for the sake of exactitude. Mpaka sasa sijaona.

Ulitaka Kikwete akihutubia atamke...Wewe Tendwa leo nakuumbua??
Kweli wewe ni Low thinker..Inavyoonekana viwango vya habari ya mleta mada viko juu sana na kwa vile wewe ni mtu mwenye uwezo duni sana wa kufikiri umeshindwa kuelewa.
 
mimi labda niwakumbushe tu kwa nini kikwete ametoa kauli kama hii ni kwa sababu anagwaya timu ya chadema na alisema yeye waziwazi kuwa tukilala hawa wapinzani wanakuja kwa kasi kwani siyo kama wa miaka ile ya zamani hawa kidogo ni wa tofauti hivyo basi inabidi tuwe macho na ndo maana amekiuka kauli ya msajili wake wa vyama hii ina maana ya kuwa hafahamu hili suala la hasha bali chadema inamnyima usingizi
 
Sasa kama unakumbuka mada inayozungumziwa utachanganyikiwaje......au ndo chicken head??????

Kwa nini usiwafikirie na wale ambao hawakupata kusoma the past na waliojiunga baada??? Ndo maana flashback writing style ni more comprehensible kuliko kudhani kuwa kila mtu anajua na kukumbuka ya kale....ndo maana nikasema kuandika ni fani.

Ila isiwe issue saaanaaa.....kama vipi potezea tu ila ujua kuna kuandika na kujaza maneno kwenye ukurasa......the choice rests with the composer!!!!!!!!

Wewe kweli ni kilaza.
 
Kusema rais wa nchi anaendekeza kumuumbua msajili wa vyama vya siasa ni serious claim kwa sababu inaingilia habari nzima ya uongozi bora. Swali siyo kwa nini definition yangu iwe sahihi, swali ni kwa nini definition yangu isiwe sahihi kwa minajili hii niliyoieleza.

Huyo atakayeona hili ni moderate ana mengi ya kuwa moderate about. Not discounting the stoutness of his mental constitution.

Hapa umejipambanua kwanini umekesha siku mbili kubishana hapa JF.Kweli unatumika.
 
Back
Top Bottom