Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Rais Kikwete amuumbua John Tendwa

Ukweli haujali demokrasia, hata dunia nzima ikisema moja ni mbili moja haigeuki mbili.

Nimeandika hapo juu kwamba sifagilii habari za kuangalia macho ya watu.

Serious claims require serious evidence, uneshindwa kutoa hata direct quote tu.

Unakubaliana na hoja katika thread ya propaganda? Do you even know the difference?

Nitakujiu kesho
 
Kiranga zipo zote kweli kichwani mwako?,kwanin u mvivu kiasi hicho mpaka unashndwa kutafuta hzo direct quotation kwny source nyngne?. Shukuru mtoa mada amekupa pa kuanzia lkn hapa sio mwisho wa kujihabarisha ndug yangu,nlitegemea kwa kutumia ujuaji wako ungeiweka hii taarifa ktk usahihi zaid kwa kuongeza hvyo vilivyomiss
 
Kiranga zipo zote kweli kichwani mwako?,kwanin u mvivu kiasi hicho mpaka unashndwa kutafuta hzo direct quotation kwny source nyngne?. Shukuru mtoa mada amekupa pa kuanzia lkn hapa sio mwisho wa kujihabarisha ndug yangu,nlitegemea kwa kutumia ujuaji wako ungeiweka hii taarifa ktk usahihi zaid kwa kuongeza hvyo vilivyomiss

Mkuu Pawaga

Watu wengine wako kazini wasikuumize kichwa na ndiyo maana sijahangaika kumjibu.
 
Connecting dots...hujui hiyo...umezoea kusoma zile stori so and so kasema, alisema, akaongeza, akasisitiza.

Mkuu Tumaini Makene

Hawa watu ni wa ajabu sana.Kazi yao ni kuleta propaganda za kijinga hapa JF.Inavyoonekana jukwaa hili haliwastahili kwani wanaonekana wazi wao sio GT.
 
Mkuu Kiranga
Umesahau habari yenyewe imeandikwa na Molemo wa JF?


Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu Chama

Habari ya siku.Umepotea sana.
Vipi mbona uraia wa Katibu mkuu wako unahojiwa sana? Hebu tufafanulie mkuu ili tuondoe utata.
 
Mkuu Chama

Habari ya siku.Umepotea sana.
Vipi mbona uraia wa Katibu mkuu wako unahojiwa sana? Hebu tufafanulie mkuu ili tuondoe utata.

Mkuu Molemo
Habari poa; katibu mkuu ni mtanzania; uraia wake hauna utata hata kidogo; katibu ameitumikia nchi katika nyanja nyingi akiwa mwanajeshi; alijitoa mhanga kuilinda mipaka ya nchi hii; uraia wake ni wa nguvu kuliko hata wa Dr. Slaa ukitilia maanai akiwa kama mwanajeshi alipigana kulinda mipaka yetu kwa mantiki hiyo utaona katibu wa mkuu ni mtanzania halisi kumzidi Dr. Slaa

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Habari za kibongobongo, unasoma mwanzo mpaka mwisho hamna direct quote hata moja. Kwa mtu anayejali usahihi wa habari ni lazima kujiuliza kama habari ni sahihi au ni maluweluwe ya muandishi.

Muandishi angeipa habari yake nguvu zaidi kama angeweka nukuu ya maneno halisi aliyotumia Tendwa na maneno halisi aliyotumia Kikwete ili tuweze kujua kama anachodai ni kweli au katia chumvi.

Bila hilo habari inakosa uhakika na context.

Nawe usifikiri kwamba kila kitu lazima unukuru kama kilivyo ukitaka kujua ukweli huo soma ripoti ya tume ya Nchimbi, jamaa alichokisema ni kweli tupu namuunga mkono. Kwa kuongezea ni kwamba kupiga marufuku shughuli za kichama na kuachia bunge lifanye kazi hizo, hilo lilisemwa na Mukama(Katibu Mkuu CCM aliyemaliza muda wake) kwenye kutoa maoni yake ktk ile tume ya Nchimbi.

Sasa unaposema kuwa habari/taarifa ya jamaa imepoteza context, mie sikuelewi, nawe jipange upya.
 
Mkuu Molemo
Habari poa; katibu mkuu ni mtanzania; uraia wake hauna utata hata kidogo; katibu ameitumikia nchi katika nyanja nyingi akiwa mwanajeshi; alijitoa mhanga kuilinda mipaka ya nchi hii; uraia wake ni wa nguvu kuliko hata wa Dr. Slaa ukitilia maanai akiwa kama mwanajeshi alipigana kulinda mipaka yetu kwa mantiki hiyo utaona katibu wa mkuu ni mtanzania halisi kumzidi Dr. Slaa

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu Chama

Nimekupata lakini mkuu kwanini uraia wake uhojiwe leo? Unaweza kujiuliza mbona uraia wa Mangula usihojiwe? Mkuu unganisha dots hapo unipe nibu...
 
Mkuu Chama

Nimekupata lakini mkuu kwanini uraia wake uhojiwe leo? Unaweza kujiuliza mbona uraia wa Mangula usihojiwe? Mkuu unganisha dots hapo unipe nibu...

Jamaa ni Alshabaaab. Amehusik na Utekaji wa meli nyingi katika Bahari ya Hindi pia alimpa Mchongo fisadi aliyeimaliza Somalia na kuja kuwekeza Tanzania unaijua TANSOMA?
 
Mtoto una Kiranga wewe!!!! Amekwambia source ITV na Channel Ten, hebu acha uvivu basi kesho fuatilia you tube ya ITV wana tabia ya kutupia habari za kitaifa.

Naungana na Kiranga! Hata kama ni ITV au redio imeyatoa hayo maneno si vibaya ukayachukua baadhi hasa yenye ushawishi zaidi na kuya-quote kama yalivyo, utakuwa umenogesha habari zaidi. Hata hivyo ni mitazamo tu kutofautiana lakini hakuna kilichoharibika.
 
Kati yangu mie ninayetahini kuondoa uhaini na muandishi anayeleta habari nusunusu nani mvivu?

Tutajuaje kwamba kauli ya Tendwa haikuwa na qualification ambayo haijatajwa hapo kwenye habari?

Huu mwaka 2012, uchaguzi ni 2015, unataka tuamini kwamba Tendwa kapiga marufuku mikutano yote ya siasa mpaka uchaguzi ujao? No qualification, no explanation?

Kwani we ni raia wa nchi gani?maana hili swala liko open sana.
 
Jamaa ni Alshabaaab. Amehusik na Utekaji wa meli nyingi katika Bahari ya Hindi pia alimpa Mchongo fisadi aliyeimaliza Somalia na kuja kuwekeza Tanzania unaijua TANSOMA?

Mkuu Albedo,
Hotel ya TANSOMA mbona ni kawaida tu kwa hawa jamaa, wanafanya kazi sana sio wavivu hawa nenda Kariakoo gerezani wameshika biashara za Stationers, Computers, vifaa vya ujenzi, piga kazi mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.................!!!!!!! JK Rais wangu umezungukwa na watu wabaya sana amini nakuambia....
 
Haijasemwa CHADEMA nao wafanye mikutano ila ni ruksa kwa CCM yetu we vipi?
 
Kiranga zipo zote kweli kichwani mwako?,kwanin u mvivu kiasi hicho mpaka unashndwa kutafuta hzo direct quotation kwny source nyngne?. Shukuru mtoa mada amekupa pa kuanzia lkn hapa sio mwisho wa kujihabarisha ndug yangu,nlitegemea kwa kutumia ujuaji wako ungeiweka hii taarifa ktk usahihi zaid kwa kuongeza hvyo vilivyomiss

Inaelekea wewe ndiye mvivu wa kusoma.Kwa maana hujasoma nilipoandika kwamba napata shida kupata direct quote, na kila nikitafuta napata interpretation tu.

Unasema mi mvivu wakati hujaweka hiyo direct quote ninayotafuta? Wewe vipi?
 
Mkuu Albedo,
Hotel ya TANSOMA mbona ni kawaida tu kwa hawa jamaa, wanafanya kazi sana sio wavivu hawa nenda Kariakoo gerezeni wameshika biashara za Stationers, Computers, vifaa vya ujenzi, piga kazi mkuu

Mkuu Ritz

Hivi hawa jamaa wote wana Uraia? Unajua vurugu wanazofanya nchini kwao ndiyo zinatisha wananchi.Usishangae watu kuanza kuhoji urai wa Katibu mkuu wako.Hawa watu ni hatari.
 
Last edited by a moderator:
Kwani we ni raia wa nchi gani?maana hili swala liko open sana.

Uraia unahusu vipi hapa? Richard Mabala type anaweza kuwa raia wa Uingereza yuko bongo anaijua serikali ya bongo kuliko wabongo.


Na mie naweza kuwa Mtanzania nisijue mambo mengine.

Halafu unaposema "hili swala lipo open sana" unakusudia kumaanisha suala gani? Maana mie ninachotaka hakipingi wala kuunga mkono yeyote, kinataka ku establish mambo ya msingi katika mjadala huu, sasa kabla hatuja establish suala ni nini wewe ushasema swala liko open, bila kufafanua.

Yaleyale ya jumlajumla na kulundika.

Tunajua mna hasira na Kikwete. Hata mie siridhishwi na utendaji wake. Lakini je, ni kweli "kamuumbua" John Tendwa? Kwa minajili ipi?
 
Nawe usifikiri kwamba kila kitu lazima unukuru kama kilivyo ukitaka kujua ukweli huo soma ripoti ya tume ya Nchimbi, jamaa alichokisema ni kweli tupu namuunga mkono. Kwa kuongezea ni kwamba kupiga marufuku shughuli za kichama na kuachia bunge lifanye kazi hizo, hilo lilisemwa na Mukama(Katibu Mkuu CCM aliyemaliza muda wake) kwenye kutoa maoni yake ktk ile tume ya Nchimbi.

Sasa unaposema kuwa habari/taarifa ya jamaa imepoteza context, mie sikuelewi, nawe jipange upya.

Kunukuru ndo nini?

Get your Swahili right before delving into the nuances of the annals of separating precise politicking from pure propaganda.

Wewe ambaye hujaelewa somo unaniambia mie nijipange upya? Kwa sababu tu hujapata point yangu?

What if your current station did not prepare you to comprehend my contextualized egalitarian equanimity?

Unafahamu maana ya msemo wa Sagan "Extraordinary claims require extraordinary evidence"?
 
Jamaa ni Alshabaaab. Amehusik na Utekaji wa meli nyingi katika Bahari ya Hindi pia alimpa Mchongo fisadi aliyeimaliza Somalia na kuja kuwekeza Tanzania unaijua TANSOMA?

Mkuu Albedo

Una uhakika na unayoyasema? Habari nzito dana hii mkuu wangu.
 
Back
Top Bottom