Fuata upepo
Member
- Aug 11, 2011
- 22
- 3
Kuna moja Big Benjamin alipiga na Actor wa Last king of Scotish(Wakimwiga Id Amin) if am not mistaken! I hav a pic..
Gazeti la nipashe ukurasa wake wa mwisho leo umetoa picha ya rais wa tz akiwa na rapa 50 cent. Nikajiuliza rais akikutana na mtu kama huyo wanakuwa wanazungumzaa nn?uwekezaji katika sekta ya sanaa Tz?au kitu gani?
sharobaro wa ukweli alikuwa anaomba msaada wa suti :bange:
Unajua budget ya Tanzania wewe?50cts does not need to talk anything...
Unajua how much he worth? 450million US Dollars; Yaani zaidi ya Bajeti ya Serikali ya Tanzania...
ndege wa aina moja uruka pamoja!!Gazeti la nipashe ukurasa wake wa mwisho leo umetoa picha ya rais wa tz akiwa na rapa 50 cent. Nikajiuliza rais akikutana na mtu kama huyo wanakuwa wanazungumzaa nn?uwekezaji katika sekta ya sanaa Tz?au kitu gani?
nitake radhi tafadhali.Jamani si ndio Rais mliyemchagua!!