Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Jamani tumuache afanye mambo yake, tujipange upya as if hatuna prez
50 Cents just inaugrated a campaign to feed 1bn hungry people in this globe...... better than taking a pic with careless Obama, he don't care about us.Hizi ndizo raha anazofata huyu jamaa huko USA...anatuacha tunapauka kwa jua na umaskini yeye anaenda kula good time na hawa wahuni....teh the teh teh...Napata hasira nashindwa cha kufanya,natamani niingie kwenye bongo za watanzania waone dharau hii kwa watanzania,ila yapo mabogus yanaendelea ku-support CCM na uchafu wake...
View attachment 37744View attachment 37745
Mkuu cheki na hizi kwanza ya 50 cent yaja.........................
Jamani huyu jamaa naye atatoa vyandarua au inakuwaje ?
Sifa ya mwanaume aliyekamilika huku mtaani kwetu ni kufunika masupastaa. Maana kijiweni tutapiga story gani sasa? Bravo mtu wangu!