Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kama huna data si bora uombe ueleweshwe??????????
Ni saa ngapi Mwalimu Nyerere alipomkaribisha Bob Marley ndipo akakatae kumpa mkono kwa madai kwamba hawezi kusalimiana na mvuta bhangi???????????
Ni saa ngapi Mwalimu Nyerere alipomkaribisha Bob Marley ndipo akakatae kumpa mkono kwa madai kwamba hawezi kusalimiana na mvuta bhangi???????????
Nafikiri kuna sababu na inaweza ikawa ni juu ya kukiinua kikundi cha Tanzania House oF tanzania!!! Lakini mie sioni ajabu kwani hata mwl. Nyerere kwenye sherehe za uhuru wa Zimbabwe alimkaribisha Bob. Kuja hapa Bongo!!!