Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Duh! Nimemwona Raisi wangu akigawia watoto hela, akawaambia ni ya sikukuu! Sawa, lakini amenunua Samaki wa 120,000/= sikumsikia akiulizia changamoto wapatazo wavuvi au wachuuzi. Ila nimekujua anafahamu Samaki watamu!

ulitaka kusikia alichoongea wewe mvuvi?? zipo idara husika zinazomwakilisha raisi kiutendaji
 
jana rais uhuru kenyatta aliwapa kazi ya ziada walinzi baada ya kuamua kuendesha bodaboda mtaani.
 
Kwahiyo kuelewa kiingereza ndio kuelimika?

Kiingereza ni lugha tu! Uliitumia mpaka Form 4. Kweli usiweze hata kuandika sentensi moja! Kama ni hivyo, itakuwa ni ishara ya uwezo mdogo wa kujifunza. Sword, Comprenez-vous?
 
Duh! Nimemwona Raisi wangu akigawia watoto hela, akawaambia ni ya sikukuu! Sawa, lakini amenunua Samaki wa 120,000/= sikumsikia akiulizia changamoto wapatazo wavuvi au wachuuzi. Ila nimekujua anafahamu Samaki watamu!

Mshahara wa shemeji zake walimu ni milo miwili ya samaki ya mweshimiwa! Tanzania nchi ya ajabu sana!
 
Absolument, c' est ce qu' il peut faire pour son pays!

Mon inquiétude est que, la qualité de nos dirigeants est désormais très faible. Un président qui ne peut pas faire les priorités!
 
jana rais uhuru kenyatta aliwapa kazi ya ziada walinzi baada ya kuamua kuendesha bodaboda mtaani.

Ni sawa na hospitali, wakizidiwa wengi haikupi nafuu wewe. Wanaiga kila siku mengine yanaishia njiani.

Kwani hotuba za mwisho wa mwezi unazisikia tena?
 
kwenye uzi kama huu kama unamchukia sana JK ni bora kupita kimyakimya tu kwa sababu hakuna cha kusifia sana wala kuponda ni kawaida kabisa.
 
Mon inquiétude est que, la qualité de nos dirigeants est désormais très faible. Un président qui ne peut pas faire les priorités!


Ouais c'est là que nous devons envisager la prochaine fois de ne pas faire mêmes erreurs que c'est nous qui choisissent en puissance dirigeants incompétents.

Mais frère ne nous sommes d'accord pour utiliser l'anglais comme il convient les forums, vous vous souvenez?
 
Nous avons besoin d'être excessivement grave avec le processus de vote. De toute façon, qui a également été observée par Aristote. La politique attire gens inutiles. Le plus gros problème, c'est que nos politiciens sont devenus trop puissants. Imaginez une personne raisonnable qui devient puissant.

Essentiellement JF besoins en Kiswahili. N'importe quel thread lancé en anglais obtient moins d'attention. Si vous le faites en français qui devient pire.
 
Ouais c'est là que nous devons envisager la prochaine fois de ne pas faire mêmes erreurs que c'est nous qui choisissent en puissance dirigeants incompétents.

Mais frère ne nous sommes d'accord pour utiliser l'anglais comme il convient les forums, vous vous souvenez?

Nous avons besoin d'être excessivement grave avec le processus de vote. De toute façon, qui a également été observée par Aristote. La politique attire gens inutiles. Le plus gros problème, c'est que nos politiciens sont devenus trop puissants. Imaginez une personne raisonnable qui devient puissant.

Essentiellement JF besoins en Kiswahili. N'importe quel thread lancé en anglais obtient moins d'attention. Si vous le faites en français qui devient pire.
 
Same goes! Where? Nert! Unaulizwa swali unaandika mengine bila jibu hata moja.
Musihangaike kutoa compensation pasipostahili. Kama mtu hana la kumushangilia, basi!

Nakuuliza kama yule mpuuzi mwingine kwamba, Hukuona Nyerere akipanda baiskeli mitaani?, Thomas Sankara akitembea mitaani, Karume akicheza bao mitaani? Baada ya hayo yote, yalisaidia nini ktk nchi?

Tusipende kuchekelea kila kitu kinachofanywa na Rais. Au unadhani Rasi ni infallible? He is a normal organism, subjected to any stupid action like you can undergo. Eager to be upraised like you wish it happens to you, uncultured like you can be, etc. That means Your brain is important that anyone’s. Tatizo lako unadhani Rais ana akili kuliko wewe. Possibly, lakini siyo mimi Maana nina historia yake.


Hata hueleweki, too pompous of you!!! sasa uhusiano wa kiongozi kiutendaji na kununua samaki uko wapi????!!
Hiyo historia yake sasa ianzishie uzi na utendaji wake tujadili hayo!!!!!
 
Hiyo red font imenionyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri. How old are you in JF?
Nani kakwambia mimi ni mwanaume? very insesitive stupid poor-word selector!
Wanaume ndio most daring huko nilikolelewa sasa kama wewe jike ni daring haya weka uzi!!!!
How old am I in Jf has nothing to do with whatever you are hardly trying to derive!!!!

Stupid yeh, at least am not a bloody jealousy lassie like you are for just a fish, get married mamy your husband will buy some for you too!!!!
 
Nous avons besoin d'être excessivement grave avec le processus de vote. De toute façon, qui a également été observée par Aristote. La politique attire gens inutiles. Le plus gros problème, c'est que nos politiciens sont devenus trop puissants. Imaginez une personne raisonnable qui devient puissant.

Essentiellement JF besoins en Kiswahili. N'importe quel thread lancé en anglais obtient moins d'attention. Si vous le faites en français qui devient pire.
Tout ce que vous avez dit est vrai en ce qui concerne notre système politique, je me demande parfois à quand leurs compatriotes tanzanien sera en mesure de voir la lumière depuis le politicien sans espoir sont mis dans la puissance même par les intellectuels parmi nous. Ce que je veux dire, c'est que si vous voulez sauter les bons fruits Soyez prudent avec les graines que vous plantez.

Beaux nous allons impliquer les autres sur notre débat maintenant sinon nous ne sommes que deux d'entre nous dans ce forum interdisant les entrées des autres!
 
Back
Top Bottom