AU ndio vile visa vyake na MWALIMU? Si kulikua na thread humu ndani ilikua inaelezea jinsi Teacher alivyomtimua dogo? Labda kuna kajiukweli flani hivi, ngoja tusubiri wataalamu wa uchambuzi waaamke!Hajadanganywa - Amefanya Makusudi!
chuo cha angani.Shahada yake ya udakitari ni ya chuo gani ?
hapa ndio utaona tofauti kati ya mama mwenye hekima na busara na mama shughuli ubwabwa na ndembendembe!!"Hata kama kuna mtu alitaka makao makuu yawe Nyamisisi, kwa kweli haikupaswa hiyo Nyamisisi kuchomekwa hivyo. Hata mngeniuliza mimi makao makuu yawe wapi, ningesema lazima yawe Butiama tu," alisema Pinda na kushangiliwa.
Pinda pia alimpa fursa mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, kutoa kauli yake kuhusu suala hilo, ambaye alisema yeye asingependa kuliingilia suala hilo.
"Hili suala halina tatizo, ninyi na wananchi wote mtakavyoamua ndivyo iwe hivyohivyo," alisema Mama Maria.
Pinda alikiri bayana kuwa Rais alisaini tangazo hilo akijua kuwa kilichoandikwa ni makao makuu kuwa Butiama bila kujua eneo lililoandikwa ni Nyamisisi.
"Hata kama kuna mtu alitaka makao makuu yawe Nyamisisi, kwa kweli haikupaswa hiyo Nyamisisi kuchomekwa hivyo. Hata mngeniuliza mimi makao makuu yawe wapi, ningesema lazima yawe Butiama tu," alisema Pinda na kushangiliwa.
Asaini tangazo la serikali lililochakachuliwa
Pinda alikiri bayana kuwa Rais alisaini tangazo hilo akijua kuwa kilichoandikwa ni makao makuu kuwa Butiama bila kujua eneo lililoandikwa ni Nyamisisi.