3squere
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 925
- 181
View attachment 37565mara kabadilika mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kichwa naz
Anapenda kudanganywa kwake ni fahari sana anapodanganywa! yaani kweli hio document ilikua kubwa kiasi gani ashindwe kuipiga jicho au alikua busy kiasi gani hicho? ni uzembe wake tu na pengine waliofanya hivyo walishafanya mambo mengine kwa style hio hio na wakafanikiwa!
Hili la Butiama kwa kweli linaleta manenomaneno. Sisi serikalini tulidhani ukiwa na wilaya ya Butiama na makao makuu ni lazima yawe Butiama, ili tumuenzi Baba wa Taifa.
Hata hivyo, alisema pamoja na tangazo hilo kuchomekwa neno Nyamisisi, bado mtu aliyefanya hivyo hajafanikiwa, kwani tangazo hilo sio uamuzi wa mwisho wa kuhusu suala hilo.
Haya kama ni kweli basi hayabebeki? Kwani Rais akipelekewa kitu kusaini si kunakuwa na watu weledi wamekisoma na kukipitia na kujiridhisha au hao hao ndio wachakachuaji? Kama ni kweli basi hapa nategemea Rais achukue maamuzi mepesi ya kuwatimua wooote ambao hiyo karatasi iliyosainiwa ilipita mikononi mwao. Tukicheza kuna siku Rais atasainishwa karatasi ya kusema kwamba amejiuzulu bila yeye kujua!
Raisi DR Jakaya Mrisho Kikwete
hivi vyuo jamani we hacha tu
...........Nimeangalia michango ya wanaJF waliochangia hii thread wamechoka na akili za raisi wao.Mimi sichangii maana nitasema maneno magumu halafu nipigwe ban.
mwaka jana CCM ingeweza kumpitishia bwana shimbuda kuwa mgombeaji mbadala ya kikwetwe naamini isingefanya haya madudu machafu kabisa kama rijitu hiri kazi kuzurura rikiombaomba na kopo la matonya mkononi. hovyo kabisa