Pinda pia alimpa fursa mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, kutoa kauli yake kuhusu suala hilo, ambaye alisema yeye asingependa kuliingilia suala hilo.
"Hili suala halina tatizo, ninyi na wananchi wote mtakavyoamua ndivyo iwe hivyohivyo," alisema Mama Maria.
[/QUOTE]
Punda naye eti akataka amwingize mama Maria Nyerere kwenye mtego wake! Ka mama nako kalimjibu vizuri huyu zezeta mwingine!! Saaaaafi saaaana mama!!
Hivi wadau huyu PM mchovu mwenyewe hakulisoma hilo tangazo la Serikali kabla halijaenda kwa Rais? Kwa nini anataka kujitoa kwenye hili sakata?