<br />Yale yale ya akina machifu wetu na bogus treaty! Unasaini usichokijua.
Duuuh! Nilikuwa ninawaza hilo hilo. Afadhali ya wale machifu wetu walikuwa hawajui kusoma. Ni bora wao hawakuwa "Madokta". Tumwelewe vipi Vasco da Gama wetu?Yale yale ya akina machifu wetu na bogus treaty! Unasaini usichokijua.
Shahada yake ya udakitari ni ya chuo gani ?
Rais Kikwete amedanganywa tena mara ya 13 tangu aingie ikulu.
My take:
Hivi JK huwa anasaini vitu asivyovisoma mwenyewe? Je, kama anakosa muda wa kusoma vitu vidogo kama tangazo anawezaje kutafakari na kuja suluhu ya matatizo ya nchi hii? Au yuko busy sana na safari za nje na zimemzidi sana
Source Tanzania daima.