JK leo pamoja na uchovu wa safari nategemea utasema ili roho za watanzania ziepukane na adhaa hizi.Semaaa neno Baba wajue umerudi. WAKRISTO,Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure.
Mara mia ningempgia kura Dovutwa
Mara mia ningempgia kura Dovutwa
Raisi gani anayekwenda kuzurura ughaibuni huku nyumbani anaacha hali ya sintofahamu? alipaswa kushitakiwa huyu kwa kosa la uzembe na uzururaji, kama katiba ingekuwa inaruhusu raisi kushitakiwa.
Kaja kupumzika si ana ziara ya Japan jumatatu ijayo au?
bongo amepitia kama in transit,anasubiri kukonect ndege nyingine ya kwenda japan
Mara mia ningempgia kura Dovutwa
Mara mia ningempgia kura Dovutwa