Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

JK leo pamoja na uchovu wa safari nategemea utasema ili roho za watanzania ziepukane na adhaa hizi.Semaaa neno Baba wajue umerudi. WAKRISTO,Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure.

Dunia na vyote vilivyomo (hata mabomu) ni mali ya Bwana.
 
Raisi gani anayekwenda kuzurura ughaibuni huku nyumbani anaacha hali ya sintofahamu? alipaswa kushitakiwa huyu kwa kosa la uzembe na uzururaji, kama katiba ingekuwa inaruhusu raisi kushitakiwa.

Huyu Raisi Kikwete kushtakiwa inawezekana. Unakumbuka Mwl. Nyerere alisema "Tutamuapisha raisi atakayechaguliwa kwa dini yake, kama ni mkristo kwa biblia na kama ni muislam kwa msahafu na hata akiwa mpagani tutafuta njia ya kumuapisha ili atakapovunja katiba iliyomuweka madarakani tuweze kumshitaki" mpaka sasa Raisi Kikwete ameshindwa kuilinda katiba iliyomuweka madarakani kwa kushindwa kulinda usalama wa raia na mali zao. Humu JF kuna wanasheria tuwape jukumu hili?.

 
Jamaa anakula bata sana nje duh...bora angekua anakopi maendeleo ya huko na kuja nayo huku angalau suala dogo tu la MIPANGO MIJI....lakini loh hamna kitu
 
Kaja kupumzika si ana ziara ya Japan jumatatu ijayo au?

aiseeee babaangu huko japan anakwenda kutembelea timu ya kina drogbar na shule ya karate za watoto wadogo huku rombo rais wetu ni selasini 2po nae kwenye misiba
 
Jaman semeni saaana lakini ukweli ni kwamba ndio raisi wenu na amiri jeshi wa nchi hii!!!!!!!:A S tongue::A S-rap:
 
Amwkumbuka KUOMBA Tende alipokuwa OMAN? Welcome home mh rahisi
 
kwanini hakuona sababu ya kukatiza safari yake aje kutuliza mambo kama rais wa jamhuri ya tanzania
 
Sijui atawaambia nini majirani zake KIBAKI na MSEVENI;Kenya wanapambana na A-LSHABAB,TZ mnapambana na watu wa aina gani?mbona Tz yamechomwa makanisa mengi kuliko hata KENYA ambayo inayopambana na EXTREMISTs???!!!

Failed state ni nchi zenye kushindwa kujisimamia sheria na Taratibu zake,na mtu yeyote anaamua kufanya atakalo na SERIKALI INAFYATA MKIA.!!!
 
Mara mia ningempgia kura Dovutwa

pole mkuu,kumbe ulipoteza kura yako kwa dhaifu,hata siku moja cjawahi kudhani kwamba dhaifu ni kiongozi huwa ninamuona tu kama wauza sura wa bongo fleva wanaokwenda hatua moja mbele kisha mbili nyuma na kujipongeza!.
 
Mwambieni akawatulize wenzie wamechachamaa kwa sababu yeye aliwabeba sana,alianza na udini atamaliza na udini.kilaza mkubwa.
 
Back
Top Bottom