for what!mh rais amerud, tunaomba awatazame watu wake kwa macho mawili
UPDATE
Msafara wake umeongozana na makamu wa rais na IGP na ndio waliompokea Airport. sijui IGP ana maagzo gan ila natumaini JK amepewa hali halisi iliyopo
Mara mia ningempgia kura Dovutwa
Kwani Tanzania tuna rais?
karibu mheshimiwa katika bandari yako ya salama na amani.
akiwa bongo anahis yupo ukweni
Mara mia ningempgia kura Dovutwa
Hivi BABA V, unajua akili za JK hazina akili?