Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

Au ndio maana Mzee Mwanakijiji akasema usiku wa leo mustakbali wa Tanzania utakuwa katika mizani?
 
Kurudi kwa dhaifu ni sawa na kama jana tu. Will make no difference. He is the founder of the fracas and therefore any iterested party. Thefore he can't be an arbitor to this crisis. Just wait and hear what he is going to respond to the problem. Solution 1: Mkutano na wezee wa Dar-es-Salaam chini ya uenyekiti wa yule aliofisidi UDA. Slution 2: Kuunda tume itakayoongozwa Shekh Mkuu. Slution 3: Kuitisha kikao cha CC ya chama cha magamba.
 
Welcome my presdent, niko kwenye TV nasubiri Mungu ibariki Tanzaniaaa! nikusikie baba, wenzako leo tumekimbizwa mjini, usiposema neno tutakimbizwa tena kesho, karibu Mh. ila usitoe ushauri tena, toa maagizo, ndio ni waislam wenzako, ndio suala la dini liko sensitive, sawa watakuchukia lkn amani yetu i mashakani. Sisi wakristo na waislam wadhati tunakulilia, wale magaidi si wa kuonewa huruma hata chembe, udugu wetu u mashakani. mwisho, nini hatma ya hawa walioko mahabusu? watafungwa kweli? wataachiwa? kipindi wakiwa ndani nini responce ya washirika wao? wakija kuachiwa nini implication yake? je watashika adabu au ndo watakuwa mabandidu zaidi? wale wa mihadhara pale manzese kila siku kukashifu dini za watu ndo nini? vipi hawa wanakujaga mitaani kwetu na kuanza kashfa zao usiku kwa sauti ya spika muda ambao wengi huwa tumerudi majumbani na kulazimishwa kusikiliza kashfa hizo? NAAMINI HIKI NDO KIPINDI CHA KUAGIZA POLICE KUKAMATA WATOA MIHADHARA YA KASHFA NCHI NZIMA. bado nasubiri Mungu ibariki tz, sitoki kwenye tv ng'ooo!
 
huyu JK aka The Traveller..utaskia anaelekea Ahera kutafuta wawekezaji..!!
 
Welcome back Mr President. We know God is with you in the challenges ahead you. Don't give up, you are about to make sir!
 
Nakukubali BABA V ni kwamba nina hasira kuhusu yanayoendelea na yeye kama baba hataki kutoa tamko lolote...amekaa kimya. Nisamehe ndugu hata biblia inasema " Iweni na hasira ila msitende dhambi...."naomba nivumulie Mkuu.
 
Welcome my presdent, niko kwenye TV nasubiri Mungu ibariki Tanzaniaaa! nikusikie baba, wenzako leo tumekimbizwa mjini, usiposema neno tutakimbizwa tena kesho, karibu Mh. ila usitoe ushauri tena, toa maagizo, ndio ni waislam wenzako, ndio suala la dini liko sensitive, sawa watakuchukia lkn amani yetu i mashakani. Sisi wakristo na waislam wadhati tunakulilia, wale magaidi si wa kuonewa huruma hata chembe, udugu wetu u mashakani. mwisho, nini hatma ya hawa walioko mahabusu? watafungwa kweli? wataachiwa? kipindi wakiwa ndani nini responce ya washirika wao? wakija kuachiwa nini implication yake? je watashika adabu au ndo watakuwa mabandidu zaidi? wale wa mihadhara pale manzese kila siku kukashifu dini za watu ndo nini? vipi hawa wanakujaga mitaani kwetu na kuanza kashfa zao usiku kwa sauti ya spika muda ambao wengi huwa tumerudi majumbani na kulazimishwa kusikiliza kashfa hizo? NAAMINI HIKI NDO KIPINDI CHA KUAGIZA POLICE KUKAMATA WATOA MIHADHARA YA KASHFA NCHI NZIMA. bado nasubiri Mungu ibariki tz, sitoki kwenye tv ng'ooo!

Unampigia mbuzi gitaa
 
Nakukubali BABA V ni kwamba nina hasira kuhusu yanayoendelea na yeye kama baba hataki kutoa tamko lolote...amekaa kimya. Nisamehe ndugu hata biblia inasema " Iweni na hasira ila msitende dhambi...."naomba nivumulie Mkuu.

Sijui watanzania tulimkosea nini MUNGU hadi tukapata huyu njegele for our president
 
Back
Top Bottom