Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Pole kwa safari mkuu wetu wa nchi na amiri jeshi mkuu!! Leo tunategemea kwa vyeo ulivyo navyo kama Rais na Amiri Jeshi Mku na Mwenyekiti wa kile Chama chako kinachoimba udini, ukabila na ukanda kupitia kampeni zenu basi leo utasema neno moja kuhusu Waislam wenzako. Kwa neno lako na nchi hii ipate kupona na kurejea katika ile amani tuliyokuwa nayo!!